Nao ni ushauri eti! Mkiitwa shithole mnanuna! Mwambie mwenyekiti wenu kuwa hao anaonunua mayai tu huku kamuacha mama kuku mtagaji akiendelea kutaga mayai mengine! Muulize kama ataweza kuuyanunua yote?Kuna wakati walipa kodi inafaa mjionee huruma wenyewe sasa! Chagua CCM hawanunuliwi, vinginevyo mtafanya uchaguzi kila mwaka mkijitia ununda...
Ni ujinga kujisifu kuwanunua viongozi ukidhani kuwa anawamiliki waliomchagua kumbe walimtuma tu kuwawakilisha! Ccm mnakufa hivi punde hata ninyi ni mashahidi wa kifo chenu! Buriani mkaisalimie KANU!