Sheria ya mita 200 inatekelezeka kweli?

Sheria ya mita 200 inatekelezeka kweli?

sawa tuko tayari.tutasubiri matokeo tukiwa mita 200 kwa mujibu wa sheria na kama ilivyokua katika chaguzi zilizopita.swala la eti piga kura alafu kalale sijaona logic yake bado.

Labda Yale malori yanayobeba watu kwenye kampeni za CCM siku ya kupiga kura Mwenyekiti wa CCM ayapangie kazi ya kusomba watu kutoka majumbani mwao na kwenda kuwaficha wanakojua hadi jioni maana vituo vya kupigia kura viko kwenye makazi ya watu. Hakuna akili ilotumika katika hili
 
Salary Slip,

..kwa hiyo kisheria ukawa wako sahihi.

..tatizo liko kwenye utekelezaji ambapo vituo viko maeneo ambayo yana msongamano.

..kama ni hivyo basi suala hilo inabidi lipelekwe kwenye chombo cha kutunga sheria ambacho ni BUNGE.

..BUNGE ndilo lenye mamlaka ya kubadili sheria hiyo.

..kwa upande mwingine nadhani BUSARA ingetumika kushughulikia suala hili, badala ya kutoa VITISHO.

NB.

..kwa mtizamo wangu ukawa wamekosea kupeleka suala hili mahakamani. ccm wako desperate sasa hivi na usijeshangaa akapatikana jaji kada wa ccm akaamua shauri hili ndivyo-sivyo.
Hapo UKAWA wanaweza kukata rufaa na uchaguzi ukasogezwa mbele.

Yakitokea sitashangaa kabisa.
 
Wanaume mkiingia ndani kusubiri matokeo........sisi wanawake tutatoka tukalinde.......
cha msingi hapa ni........kura lazima zilindwe...........
 
Yaani vyama vinne vyenye mawaakala wote wanne wakihakikisha kura za mgombea mmoja bado wanahisi haitoshi? nyinyi mna lenu jambo
 
Kuna watu wanataka kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.Swali langu watajisaidia wapi wakitaka kunya au kukojoa au maeneo hayo wameaanda vyoo? Mimi naogopa kipindpindu wasije anza kunya hovyo hovyo na kumwaga mikojo kwenye viambaza vya nyumba za watu na kusababisha magonjwa ya milipuko.
 
Hivi Vituo Vyakupigia Kura Vipo Maporini Pasipo Makazi Na Makazi Ya Watu?
 
inasikitisha kuona kua uwezo wako wakufikiri ndio umeishia hapo, kwani kwenye mikutano ya kampeni huwa tunaenda na pampers?
amka,
acha mawazo mgando,
tz yaleo sio ile yajana,
kama unanufaika na ccm jua mwisho wenu umefika.
mark my words,
mwisho wenu umefika
 
Watajisaidia nyumbani kwenu,siasa za sasa hivi zimeingiliwa na watoto kula kulala,kulinda kura hakujaanza leo au wewe ulikuwa bado unanyonya?
 
Kuna watu wanataka kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.Swali langu watajisaidia wapi wakitaka kunya au kukojoa au maeneo hayo wameaanda vyoo? Mimi naogopa kipindpindu wasije anza kunya hovyo hovyo na kumwaga mikojo kwenye viambaza vya nyumba za watu na kusababisha magonjwa ya milipuko.

Umeonyesha ni kiasi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo...........wewe ni mtu wa aina gani........?....
 
Watajisaidia nyumbani kwenu,siasa za sasa hivi zimeingiliwa na watoto kula kulala,kulinda kura hakujaanza leo au wewe ulikuwa bado unanyonya?

bora unisaidie, labda alikua bado enzi hizo
 
Mkuu wewe umeona kwako ni tatizo ..wengine tushatengeneza fursa hapo. ......
 
Usihofu. Wataenda chooni. Badala ya kuuliza watakula wapi wewe unawaza mambo ya msalani. Hopeless
 
Nawatakia mupumzike kwa amani wote mtakaotangulia mbele za haki siku hiyo!RIP wana JF wote mtakao poteza uhai siku hiyo!ukiachilia mbali siasa mimi kimbley au Fetty nawapenda sana!mungu akipenda tutakutana mbinguni/akhera.
 
1. Mbona huulizi wanajeshi vitani wanajisaidia ndogo na kubwa wapi?
2. Au nyumbani kwenu wote huwa mnapata haja kubwa na ndogo kwa mkupuo?
 
Yaani vyama vinne vyenye mawaakala wote wanne wakihakikisha kura za mgombea mmoja bado wanahisi haitoshi? nyinyi mna lenu jambo

Unapoacha kutumia akili badala yake unatumia makalio kufikiri. Hao mawakala wanne umewatoa wapi? Kila chama chenye mgombea ndicho kitakachoruhusiwa kuwa na wakala. Kama hujui usitoe comment za kindezi hivi humu jukwaani!
 
Kuna watu wanataka kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.Swali langu watajisaidia wapi wakitaka kunya au kukojoa au maeneo hayo wameaanda vyoo? Mimi naogopa kipindpindu wasije anza kunya hovyo hovyo na kumwaga mikojo kwenye viambaza vya nyumba za watu na kusababisha magonjwa ya milipuko.
Hata akili ya bata ina afadhali.
 
Back
Top Bottom