GOLD BOY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 388
- 473
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .