ANDREW JOSEPH
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 405
Habari zenu wana group ninajambo moja dogo la kiufafanuzi.
Sheria ya mirathi inasemaje ikitokea baba amefariki na alikuwa na watoto wawake tofauti tofauti?
Hiki za watoto zinasemaje hasa kwa wale wa nje ya ndoa?
Sheria ya mirathi inasemaje ikitokea baba amefariki na alikuwa na watoto wawake tofauti tofauti?
Hiki za watoto zinasemaje hasa kwa wale wa nje ya ndoa?