Habari zenu ndugu wana sheria.
Napenda kujua juu ya hili suala. Nimepata kusikia kuwa mtu akipewa termination kazini eti kwa mujibu wa sheria ya kazi hapa nchini mtu huyo aliyepewa termination anatakiwa kulipwa siku 7 tu katika kila mwaka aliofanya kazi na hiyo kampuni.
1.swali langu ni je hii sheria inafanya kazi hata katika mashirika ya kigeni?
2. katika mashirika ya kigeni kama mfanyakazi si mtanzania yeye analipwa mwezi mmoja katika kila mwaka aliofanya kazi na kampuni, je hichi kifungu kinachowafanya wao walipwe hivo kipo katika sheria zetu za wizara ya kazi?
3. kama hazipo wao wanalipwa kwa kufuata sheria zipi na kwanini?
NITASHUKURU SANA KUPATA HII ELIMU.
Napenda kujua juu ya hili suala. Nimepata kusikia kuwa mtu akipewa termination kazini eti kwa mujibu wa sheria ya kazi hapa nchini mtu huyo aliyepewa termination anatakiwa kulipwa siku 7 tu katika kila mwaka aliofanya kazi na hiyo kampuni.
1.swali langu ni je hii sheria inafanya kazi hata katika mashirika ya kigeni?
2. katika mashirika ya kigeni kama mfanyakazi si mtanzania yeye analipwa mwezi mmoja katika kila mwaka aliofanya kazi na kampuni, je hichi kifungu kinachowafanya wao walipwe hivo kipo katika sheria zetu za wizara ya kazi?
3. kama hazipo wao wanalipwa kwa kufuata sheria zipi na kwanini?
NITASHUKURU SANA KUPATA HII ELIMU.