Umsolopogas
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 256
- 69
Kaka umeshaambiwa kuwa Rais atasaini hiyo miswada yote miwili sasa unauliza nini kuhusu kupita kwake? itapita na itakuwa sheria maana haiko kwa lengho la kumkomoa mtu fulani, hii itasaidia kuheshimiana.
Kuheshimiana unakotaka wewe ni kupi? Manake wengine vichwa vyenu ka vimejaa maji vile. Kuwambia kuwa mmezidi kula rushwa na mumafisadi ni kukosa heshima. Mutatufunga sana lakini mwisho wa yote kabuli letu wote si udongo tu. Wako wapi walio wakali sana unawowajuwa wewe? Raha mnazo zinunuwa kwa gharama ya manyanyaso ya wenzenu ni takribani miaka sabini tu. Ikiondoa 25 ya kusotea umande na 15 ya kujikomba kwa wakubwa ili wakubebe kwenyembeleko ummebaki na mingapi? 30. Weka ya kuuguza ukimwi na visukari kibao. Na kansa. Say 10. Umebaki na 20 ya kuponda raha. Na hapo sijaweka provision ya maajali etc etc. Kweli ka raha ka miaka isiyo zidi kumi inaweza ikakufanya uuze utu wako. Kweli.? Ukaacha maisha bora na raha ya milele. Kweli bin Adam haoni zaidi ya urefu wa pua yake. Siku nikiamuka vizuri nitakupeni tafsri ya milele ya watu wanawo ona zaidi ya urefu Wa pua zao.