Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
naombeni msaada wa namna ya kufuta post uliyoweka humu jamii samahanini wakuu
Rudi kwa post yako hiyo Fanya km una edit then badala ya kusave au kuipost tena hiyo post una delete!
naombeni msaada wa namna ya kufuta post uliyoweka humu jamii samahanini wakuu
Ndiko tulikofika? All Assad na Gadaf walifanya hivyo, lakini hali ya kibinadamu ni ngumu na ya hatari sana,
Uchina na Urusi walijaribu havyo lakini utandaridhi vimewashinda,
Sasa kwetu si watafunga kila wanayemhisi tu bila ushahidi?
Hapa vipi?
10.(1) A person shall not unlawfully deal with or possess: (a) (b) a device, including a computer program, that is designed or adapted for the purpose of committing an offence;
Ina maana kuwa na uTorrent, Tor, Decryption software, Wireless sniffing tools, hata kama ni for educational purposes ni kosa?
Kwasababu hizi zote zinaweza kutumika kufanya illegal access e.t.c
snipa Richard Njunwa Wamavoko Good Guy Dreson4 Kiranga Nyani Ngabu
Kazi ipo.
Ilza wasisahau kuwa sheria ni "Msemeno" Hivyo aita kula kwetu tu bali ata kwao pia. Wapi Kova na mtekaji wa Dr. Ulimboka? Mwigulu na kauli zake za Ugaidi?
Zaidi naona itakula sana kwa Nape Nnauye maana yule bila kuongea uongo na kusingizia watu hawezi fanya uenezi.
Time will tell