Sheria ya kupata katiba mpya imekiuka misingi ya democrasia na imevunja katiba ya mwaka 1977

NGOWILE

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
454
258
Sheria ya kuundwa kwa katiba mpya ya jamhuri ya muungano wa tanzania iliyosainiwa hivi karibuni na rais inakiuka misingi ya kidemocrasia na inavunja katiba ya jamhuri kwani imeingilia uhuru wa kuongea au kuzungumzia jambo ambalo ni kwa maslahi ya umma.sheria hii inatoa adhabu ya kifungo au faini ya mil 5 kwa yeyote atakaekuwa anazungumzia maswala ya katiba mpya.wadau hili mnalionaje?

Naomba kuwasilisha.
 
nauhakika ktk mambo ambayo chadema walienda kumwambia kule ikulu, sijajuwa ataliweka vipi hilo.
 
hapa ndio pananifanya niamini kuwa hakukuwa na nia ya dhati ya kuufanya mchakato wa kupata katiba mpya kuwa huru na haki. kama kwamba katiba hiyo itawahusu watu wachache wanaomiliki Tanzania na wengine niwasindikizaji tu! Hivi wale wabunge wa ccm na mwanasheria mkuu walikuwa wanawaza nini kukukipisha kifungu hiki na kuunga mkono hoja kwa asiliamia 100%?

Wabunge wa ccm na mwanasheria mkuu laana ya mwenyezi Mungu iwashukie kwa kuufanya mchakato wa katiba mpya kuwa niwa chama badala ya kuhusisha maslahi mapana ya watanzania wote.
 
Back
Top Bottom