JUKWE
Member
- Oct 4, 2011
- 20
- 6
Wadau jana nilikuwa kijiweni na jamaa zangu,wakati tunastorika as usual walipo vijana story kama sio siasa basi ni masuala ya mahusiano.
Jamaa mmoja akaja na wazo ambalo ilibidi ni think na kurethink more about it maana nimeona ni relevant sana kipindi hiki
Eti iwepo sheria ya kulinda uchumba ambapo ukimchumbia mtu kwa kipindi cha miezi sita au zaidi iwe official au unofficial then usipomuoa/kuolewa na huyo mchumba,unaweza kumfikisha kortini huyo aliyevunja uchumba kwa kukupotezea muda na resources.
Mimi naona ni valid kwa sababu itapunguza au kuondoa kabisa hiki kilio cha kuachana mitini wakati umri ushasogea na ushapoteza rasilimali nyingi ambazo ungeweza kuinvest kwenye mambo mengine pia ingesaidia kuondoa uchumba feki.
Wadau hii mnaionaje hebu tiririkeni hapo uwanja ni wenu
Jamaa mmoja akaja na wazo ambalo ilibidi ni think na kurethink more about it maana nimeona ni relevant sana kipindi hiki
Eti iwepo sheria ya kulinda uchumba ambapo ukimchumbia mtu kwa kipindi cha miezi sita au zaidi iwe official au unofficial then usipomuoa/kuolewa na huyo mchumba,unaweza kumfikisha kortini huyo aliyevunja uchumba kwa kukupotezea muda na resources.
Mimi naona ni valid kwa sababu itapunguza au kuondoa kabisa hiki kilio cha kuachana mitini wakati umri ushasogea na ushapoteza rasilimali nyingi ambazo ungeweza kuinvest kwenye mambo mengine pia ingesaidia kuondoa uchumba feki.
Wadau hii mnaionaje hebu tiririkeni hapo uwanja ni wenu