dazu
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 365
- 76
Mfanyakazi akipata kazi yenye maslahi zaidi anatoa taarifa (notisi) ya mwezi mmoja kwa mwajiri au mshahara badala ya taarifa na kuacha kazi, lakini mwajiri akipata mtu mwenye qualification zaidi ya za mfanyakazi aliyenaye kwa nini asiruhusiwe kutoa taarifa kwa mfanyakazi ya mwezi mmoja au kumpa tu mshahara wa mwezi mmoja ili kuuvunja mkataba wa ajira? Sheria hii sio discriminatory kweli?