Zipo nyingi
Mfano sheria ya ndoa ambayo kwa upande mmoja inatamka kuwa mwanamke akiwa na miaka kumi na tano anaweza kuolewa huku sheria nyingine kama ya makosa ya jinai inasema kuwa ukijamiana na mtoto wa chini ya miaka kumi na nane ni rape
bado sheria ya ardhi japo inatambua haki za mwanamke kurithi ardhi bado huko vijijini hali ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.