Sheria juu ya mzazi muonezi

Apr 10, 2021
7
1
Naomba kufahamu sheria juu ya baba muonezi (nimetukanwa na mzazi mbele ya familia na wadogo zangu kwamba mimi ni shoga na matusi kede kede mabaya yani ya aibu yaliyonidhalilisha kwenye familia, naomba wajuzi wa sheria wanipe ufumbuzi hapa.

NB: suala la uzazi lisihusishwe kwenye suala langu
 
Huenda kweli ukawa shoga, mzazi hawezi kusema uogo mbele ya mwanae. Badilika mkuu.
 
Naomba kufahamu sheria juu ya baba muonezi (nimetukanwa na mzazi mbele ya familia na wadogo zangu kwamba mimi ni shoga na matusi kede kede mabaya yani ya aibu yaliyonidhalilisha kwenye familia, naomba wajuzi wa sheria wanipe ufumbuzi hapa.

NB: suala la uzazi lisihusishwe kwenye suala langu
Msaada wakuu
 
Naomba kufahamu sheria juu ya baba muonezi (nimetukanwa na mzazi mbele ya familia na wadogo zangu kwamba mimi ni shoga na matusi kede kede mabaya yani ya aibu yaliyonidhalilisha kwenye familia, naomba wajuzi wa sheria wanipe ufumbuzi hapa.

NB: suala la uzazi lisihusishwe kwenye suala langu
Msaada wakuu
 
Back
Top Bottom