Nooneisabovethelaw
Member
- Apr 10, 2021
- 7
- 1
Naomba kufahamu sheria juu ya baba muonezi (nimetukanwa na mzazi mbele ya familia na wadogo zangu kwamba mimi ni shoga na matusi kede kede mabaya yani ya aibu yaliyonidhalilisha kwenye familia, naomba wajuzi wa sheria wanipe ufumbuzi hapa.
NB: suala la uzazi lisihusishwe kwenye suala langu
NB: suala la uzazi lisihusishwe kwenye suala langu