LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,728
Naombeni kujua wakuu maana kuna mtu anituhumu nimemtaka mke wake sasa amenitishia kuwa atanifanyia kitu kibaya.
Sasa hapa nilipo natembia na kaslaha kadogo kwa ajili ya kujitetea kwa lolote lile.
Mpaka tumefikia hapo ilikuwa hivi?
Mke wake alinipigia simu kuwa yupo ofisini kwangu nikamwambia anisubirie kidogo, sasa wakati nafika ofisini nikamwambia mbona (umenikimbia) hiyo sms ndo mume wake aliyoiona na kunihisi vibaya kwa mke wake, ni jirani tu wanaishi na ilipo ofisi yangu.
Sasa hapa nilipo natembia na kaslaha kadogo kwa ajili ya kujitetea kwa lolote lile.
Mpaka tumefikia hapo ilikuwa hivi?
Mke wake alinipigia simu kuwa yupo ofisini kwangu nikamwambia anisubirie kidogo, sasa wakati nafika ofisini nikamwambia mbona (umenikimbia) hiyo sms ndo mume wake aliyoiona na kunihisi vibaya kwa mke wake, ni jirani tu wanaishi na ilipo ofisi yangu.