Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Mume halali wa Ndoa alifariki miaka Sita iliyopita, watoto walichukuliwa na ndugu wa Mme, namaanisha kaka ambao kwake ni Shemeji, na Babu/Bibi ambao kwake ni wakwe...,
Katika mirathi alikabiziwa nyumba.
Baada ya miaka 5 kupita mke akaza na mwanaume mwingine(haishi naye wala hafiki nyumbani kwa mwanamke)
Na sasa anaishi na huyo mwanae hapo kwenye nyumba yao,
Sasa, Ukweni wamemwendea wakimtaka aachie nyumba kwa kosa la kuzaa na Mwanaume mwingine kwenye mji wao..
Jee sheria inamtoa au inambakiaza?.
Wahusika wote ni Watu wangu wa Karibu, ila mmoja wa wahanga, (Sitaja ni Ni huyo Mwanamke au Wakwe ili isilete biases katika mawazo humu) jana alikuja kuniomba ushari..
NOTE : Mali nyingine zote zilizokua chini ya watoto zilishauzwa na ndugu, hii ndugu wanasema watawashikia watoto kwa kuipangisha mpaka wakue..
Lakini pia Mjane aliongeza nyumba nyingine ndogo hapo hapo nje ambayo ameipangisha.
Mimi sina uzoefu kabisa na hayo mambo kabisa.
Huruma, Mihemko tuiache kwanza...
Katika mirathi alikabiziwa nyumba.
Baada ya miaka 5 kupita mke akaza na mwanaume mwingine(haishi naye wala hafiki nyumbani kwa mwanamke)
Na sasa anaishi na huyo mwanae hapo kwenye nyumba yao,
Sasa, Ukweni wamemwendea wakimtaka aachie nyumba kwa kosa la kuzaa na Mwanaume mwingine kwenye mji wao..
Jee sheria inamtoa au inambakiaza?.
Wahusika wote ni Watu wangu wa Karibu, ila mmoja wa wahanga, (Sitaja ni Ni huyo Mwanamke au Wakwe ili isilete biases katika mawazo humu) jana alikuja kuniomba ushari..
NOTE : Mali nyingine zote zilizokua chini ya watoto zilishauzwa na ndugu, hii ndugu wanasema watawashikia watoto kwa kuipangisha mpaka wakue..
Lakini pia Mjane aliongeza nyumba nyingine ndogo hapo hapo nje ambayo ameipangisha.
Mimi sina uzoefu kabisa na hayo mambo kabisa.
Huruma, Mihemko tuiache kwanza...