silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Sote tunaamini kila mwana nchi halali ana haki ya kumiliki Mali na kuitumia kwa mujibu wa Sheria.. na kama atanyang'anywa mali hiyo basi iwe kwa maridhiano ya mwenye mali hiyo na kwakulipa Fidia inayo fanana na Mali hiyo
Lakini mmh
Pale Vingunguti,, Mbagala, Magomeni Bondeni pale,, kuna watu hadi leo hii wanalia walibomolewa nyumba zao hawakupata fidia zinazofanana na haki yao?
Lakini mmh
Pale Vingunguti,, Mbagala, Magomeni Bondeni pale,, kuna watu hadi leo hii wanalia walibomolewa nyumba zao hawakupata fidia zinazofanana na haki yao?