kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,126
- 24,419
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.
Na wa humu msheherekee vivyo hivyo
Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima
Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran
Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena
Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao
Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much
Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi
Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi
Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho
Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni
Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto
Binafsi nimeumia sana......
Na wa humu msheherekee vivyo hivyo
Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima
Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran
Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena
Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao
Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much
Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi
Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi
Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho
Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni
Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto
Binafsi nimeumia sana......