Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,419
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Mdogo wa Khamenei? Au mke wake wa ngapi?

Pole kwa kufiwa.
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Huu ushuzi unaofikiria wenzio washaamka bwashee.
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Kama hadi raia wa Iran wenyewe wanashangilia, sisi ni nani?
Wenye nchi yao wenyewe wamefurahi kiongozi wao kuuawa
 
Putin ajifunze kwa wenzake

Yeye ana hangaika na zelensiki miaka 4 ila mwenzake USA kombola moja tu lina ondoka na mtu.

Ila hawa jamaa USA na Israel ni nyoko sana aisee. Yani wameua kiongozi wa nchi na bado wakawa wanatumiwa picha za maiti yake
 
Waacheni washeherekee kwa sasa kwa kumuua Khamenei.

Na wa humu msheherekee vivyo hivyo

Hili linaenda kuleta madhara dunia nzima

Kisasi cha kuuliwa kwa khamenei kinaenda kuleta maangamizi makubwa kwa maadui wa Iran

Sherehekeni baadhi yenu wachache ila tambueni hakuna anayeenda kubaki salama tena

Mashariki haiendi kuwa sawa tena nasema hakutakua na normal life tena huko Middle East hususani Israel na kwa wamarekani na maslahi yao

Leo wamevuka mstari mwekundu, this is too much

Kuuangamiza utawala wa kizayuni na kuishusha dunia nzima kiuchumi hususani US ndo njia nzuri ya kulipa kisasi

Mnaoshangilia jueni Iran ndo inayotudai pesa nyingi walikua wanatukopesha bila riba wala masharti yoyote ya ushoga wala usagaji sio kama hao mashetani wa magharibi

Mwisho wa uzayuni lazima utimie vita itapiganwa hadi tone la Mwisho

Hakutakua na ceasefire wala nini hii ni jihad ya wananchi wa Iran na wapenda haki wote dhidi ya Ubeberu na Uzayuni

Shangilieni kwa muda tu ila soon furaha yenu itageuka maangamizi na majuto

Binafsi nimeumia sana......
Rip Khamenei...japo uliua maelfu ya raia wako walioandamana.
 
Back
Top Bottom