Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,795
- 8,703
Ewaaa
Kama enzi za akina Okwonko kule Umofia
Kama enzi za akina Okwonko kule Umofia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Rest in peace Chinua Achebe...Ewaaa
Kwaiyo umeona bajaj tuMbeya kuna nini ndugu, jiji limejaa bajaji na zinaonekana kama kinguni kwenye godoro
aisee umenikumbusha mbali sana enzi za uboyizini tulikuwa tuanenda sana nane nane kule uyole viwanja vya jihn mwakangale kunakuwa na nyomi si mchezo viepe mishikaki na nyali inauzwa sana siku hiyo
haika tulikuwa tunaenjoy sana enzi zile
Nyanda za juu kusini Mbeya ambapo ndio stoo/kapu la taifa la chakula. Mikoa hii ndiyo "food reserve"ya nchi.Hivi kati ya Mbeya na Morogoro wapi ambapo ni kitovu kikubwa cha ukulima?
Ila mbeya swala la chakula limerahisishwa sanaNyanda za juu kusini Mbeya ambapo ndio stoo/kapu la taifa la chakula. Mikoa hii ndiyo "food reserve"ya nchi.
Ndio ilivyokuwa kwa nchi nzima miaka ya nyuma, 1980s
Naona mikoa mingine wamezipuuzia sherehe hizi, big up mbeya
Kongolee wakazi wa Mbeya.
Bila picha hunishawish
Zimeshaanza maandalizi na mwaka huu kitaifa itakuwa hapa Mbeya.

Hivi kati ya Mbeya na Morogoro wapi ambapo ni kitovu kikubwa cha ukulima?
Na huku ndio wafanye yawe yanafanyika Kimataifa sio kupeleka Dar,Dom,Moro au Arusha..
Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo yawe yanafanyika Mbeya..
Kiujumla kwa Mbeya ,nane nane huwa ni siku kuu kubwa Sana,hakuna mkoa wanasherekea nane nane hapa Tanzania ukiacha Mbeya na Songwe.
Haaa kwani ulijua anafanya mzaha kama huko kwenu?
Mbeya kuna nane nane,mwaka mpya na krismas kidogo..
Krismas huwa wanasherekea ndani zaidi,Rukwa wao krismas ndio sherehe zingine huwa hamna kitu..
Dar huwa naona Mwaka mpya na siku kuu za kiislamu.
Mbeya kuna nini ndugu, jiji limejaa bajaji na zinaonekana kama kinguni kwenye godoro
Ila mbeya swala la chakula limerahisishwa sana
Luna siku nienda kwa mama ntilie nikaagiza wali maharage wakaniletea na parachichi wakati nashangaa nikastukizwa na mtindi umewekwa mezani
Nikaanza kuogopa maana mfukoni nilikuwa na buku hiyo hiyo . Kabla sijala nikajisemesha nikasema "daah mama bora tumalizane nikupe chako mapema"
Nikamchapa na buku nikiwa maskizia kama atadai pesa nyingine kumbe ndio huduma yake hiyo kwa buku unapata parachichi na maziwa mgando saafi
Hivi kati ya Mbeya na Morogoro wapi ambapo ni kitovu kikubwa cha ukulima?
I see wewe mkubwa umenishangaza utadhani tulikuwa wote. Nikiwa hapa Iringa Jana nimeombwa hela ya nguo ya sikukuu na Demu wangu Mnyakyusa. Nikabaki nashangaa, mbona sikukuu ziko mbali au Maulid ya Mtume lakini mbona jina la Kikristo? Akanijibu sikukuu ya NANENANE!!!Mbeya Mbeya Mbeya!
Moja ya mambo yakustajaabisha ambayo nimekua nikiyaona Mbeya kwa miaka yote 20 niliyoifahamu Mbeya kwa kupita nikiwa naenda mahali pengine au kukaa kidogo ni sherehe za Nane Nane ambazo hakuna mkoa wowote Tanzania ambao wanasherekea sikukuu hizo kama Mbeya.
Mbeya sikukuu za Nane Nane kuanzia wanaume, wanawake, watoto wote huvaa nguo mpya kabisa mimi ni shuhuda wa hilo.
Mbeya Sikukuu za Nane Nane kila nyumba lazima wapike pilau na nyama na vinywaji watakunywa vya kutosha hii ni kwa kila nyumba hata vijijini.
Mbeya sikukuu za Nane Nane mzunguko wa pesa hua mkubwa kuliko kawaida na biashara hua kubwa kuliko wakati wowote ule kwani watu hununua mahitaji kwa wingi kuanzia nguo na vyakula na mambo mengine.
Mbeya nane nane ndio utaona watu wengi wakipishana huku na kule kuanzia Mbalizi, Uyole, Igawilo, Chunya, Tukuyu, Kyela, Chimala yaani watu hupishana kwa wingi sana.
Hakuna mkoa Nane Nane inachukuliwa kwa ukubwa nchi nzima isipokua mkoa wa Mbeya hata sikukuu hizo zilipofutwa mbeya waliendelea na utamaduni wao huo miaka yote.
Hahaaa Mbeya unapewa chakula na mama ntilie baadae anakuuliza kama haujashiba akuongeze kwa pesa ile ile ya mwanzo wanaita kukubalansia
Ni Sabasaba Mkuu na sio nanenane!Mbeya Mbeya Mbeya!
Moja ya mambo yakustajaabisha ambayo nimekua nikiyaona Mbeya kwa miaka yote 20 niliyoifahamu Mbeya kwa kupita nikiwa naenda mahali pengine au kukaa kidogo ni sherehe za Nane Nane ambazo hakuna mkoa wowote Tanzania ambao wanasherekea sikukuu hizo kama Mbeya.
Mbeya sikukuu za Nane Nane kuanzia wanaume, wanawake, watoto wote huvaa nguo mpya kabisa mimi ni shuhuda wa hilo.
Mbeya Sikukuu za Nane Nane kila nyumba lazima wapike pilau na nyama na vinywaji watakunywa vya kutosha hii ni kwa kila nyumba hata vijijini.
Mbeya sikukuu za Nane Nane mzunguko wa pesa hua mkubwa kuliko kawaida na biashara hua kubwa kuliko wakati wowote ule kwani watu hununua mahitaji kwa wingi kuanzia nguo na vyakula na mambo mengine.
Mbeya nane nane ndio utaona watu wengi wakipishana huku na kule kuanzia Mbalizi, Uyole, Igawilo, Chunya, Tukuyu, Kyela, Chimala yaani watu hupishana kwa wingi sana.
Hakuna mkoa Nane Nane inachukuliwa kwa ukubwa nchi nzima isipokua mkoa wa Mbeya hata sikukuu hizo zilipofutwa mbeya waliendelea na utamaduni wao huo miaka yote.