Sherehe za Muungano: Kikwete amkwepa Lowassa?

Sherehe za Muungano: Kikwete amkwepa Lowassa?

Wimana

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
2,449
Reaction score
718
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?
 
hawakuwelewana kipindi wanagawana mpunga wa richmond ndiyo maana inakuwa hivyo
 
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?

JK hakumpa mkono kila mtu pale, isipokuwa tu wale alioweza kuwafikia!!! Hiyo siyo ishara ya makundi, wale ni maswahiba wajuana vizuri
 
Mimi pia nilimwona, Lowasa nikona ansikitika, lakini hata hivyo Lowasa alikuwa karibu sana kumpa mkono sasa yawezekana ni mabifu yao
 
Prince Riziwani alishasema kuwa Lowassa SIO RAFIKI wa Familia. Maana yake yeye Lowassa sio rafiki na JK sasa nashindwa kuelewa watu hapa wanashangaa nini. Riz1 ameshalitolea ufafanuzi ili...
 
Mwaka 2016 JK atakuwa ameshajenga maadui wengi ndani na nje ya chama chake.
Imagine Lema apewe wizara inayochunguza mali za viongozi wastaafu na katiba ikiwa imesharuhusu kiongozi mkuu kushtakiwa kwa matendo maovu aliyofanya? Nini kitatokea? Sio vizuri rais kuendekeza chuki na visasi
 
Nyie administrator wa JF hebu ondoeni hoja kama hii,sasa hapa tujadili nn?
Jaman,kweli rais angepenyaje hadi amfikie Lowassa kule nyuma kiti row ya nne?au ndio hoja zinazokubalika humu hazifitwi?
Pia rais kaenda pale kusalimiana na kila mtu?
 
Nilisikia mtangazaji anasema rais amerudi kumpa mkono kuna mtu alikua amemsahau au ndo lowasa nini?
 
Mwaka 2016 JK atakuwa ameshajenga maadui wengi ndani na nje ya chama chake.
Imagine Lema apewe wizara inayochunguza mali za viongozi wastaafu na katiba ikiwa imesharuhusu kiongozi mkuu kushtakiwa kwa matendo maovu aliyofanya? Nini kitatokea? Sio vizuri rais kuendekeza chuki na visasi

labda Lema atapewa WIZARA ya kuchunguza Mmbu
 
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?



Jamani, si umesha sema hajamuona?
 
Tujadili ya maana, kwani asipo mpa mkono tatizo nin?? kwani mkono wake almas au tuseme ndo unaupako fulani ivi.. shida yetu wa Africa tunapenda kujipendekeza kwa wakubwa hata wakubwa wenyewe nao hawataki kukosolewa! sioni la maana katka hii thread based on intuition, tujadili yaliyo muhmu kwa mustakabali wa nchi.. ya kupeana mikona tuwaachie wao sis hayatuhusu..
 
Mkuu, Mbona umeshajijibu, hapo nilipo Underline na Bold (Hakuuona na Bati Baya).
Au ulikuwa unauliza swali.

Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?
 
Hivi Kikwete amepiga chafya leo? Kama hajapiga inawezekana kuna vidudu fulani vilitakiwa kutoka havijatoka anaweza kudhurika

Inabidi tumtafutie uyoga wa Kikonongo na mtindi wa Kigiriki vimsaidie apige chafya ya afya kama anasema na waungwana vile.

Chaaa.
/s.
 
Nilisikia mtangazaji anasema rais amerudi kumpa mkono kuna mtu alikua amemsahau au ndo lowasa nini?

Hakuwa lowasa, ni mtu mwingine kabisa japo mimi sikuweza kumtambua, alikuwa kwenye vazi kama la kijeshi vile.
 
Mimi pia nilimwona, Lowasa nikona ansikitika, lakini hata hivyo Lowasa alikuwa karibu sana kumpa mkono sasa yawezekana ni mabifu yao

JK anajisahau sana, ule usemi wa kutesa kwa zamu inaelekea haujui vizuri. EL is the NEXT chairman of CCM and presidential candidate of 2015
 
Back
Top Bottom