Sherehe za miaka sitini ya Uhuru hakuna mfungwa alieachiwa huru?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,101
2,715
Najua kuna watu watasema haya ndiyo mambo ya kumkebehi rais tusiyoyapenda.

Lakini ukweli ni kwamba,kama alivyosema jana Erythrocite hakuna mfungwa aliyesamehewa katika hii sherehe.

Kusamehe wafungwa siku ya uhuru ina maana sana. Inaonyesha mtu anaelewa uhuru maana yake nini.
Inaonyesha imani kwa wananchi,kwamba labda wanaweza kujiheshimu.

Inaonyesha kujiamini kwa viongozi,kwamba wanaweza kusamehe wafungwa wachache bila kuhatarisha amani.

Halafu mgeni wa heshima alikuwa anaitwa "Uhuru".
Kusamehewa ni zawadi. Na kama matu ana dakika kwamba atapata zawadi,hiyo siyo zawadi tena. Hata hivyo tunamuomba rais afuate ngano wa watangulizi wake. Asamehe saba mara sabini.
 
Wengi wameshasameewa,inawezekana kabisa waliobakia hawana vigezo.Na wenye vigezo inawezekana kabisa awajatimiza ata miezi mitatu.
 
Halafu mgeni wa heshima alikuwa anaitwa "Uhuru".
Kusamehewa ni zawadi. Na kama matu ana dakika kwamba atapata zawadi,hiyo siyo zawadi tena. Hata hivyo tunamuomba rais afuate ngano wa watangulizi wake. Asamehe saba mara sabini.
Makamu wa Rais wa US alifunga zaidi ya wanaume tena wa kiafrika wengi sana wakati akifanya kazi za kimahakama tena kwa makosa mengi yanayosameheka! Sababu ya kufanya hivyo nikuwa alikuwa anafuta taratibu za kitaasisi. Kwa hiyo, Mama anaongoza Taasisi, tuache taasisi hiyo ifuate taratibu zake.
 
Najua kuna watu watasema haya ndiyo mambo ya kumkebehi rais tusiyoyapenda.

Lakini ukweli ni kwamba,kama alivyosema jana Erythrocite hakuna mfungwa aliyesamehewa katika hii sherehe.

Kusamehe wafungwa siku ya uhuru ina maana sana. Inaonyesha mtu anaelewa uhuru maana yake nini.
Inaonyesha imani kwa wananchi,kwamba labda wanaweza kujiheshimu.

Inaonyesha kujiamini kwa viongozi,kwamba wanaweza kusamehe wafungwa wachache bila kuhatarisha amani.

Halafu mgeni wa heshima alikuwa anaitwa "Uhuru".
Kusamehewa ni zawadi. Na kama matu ana dakika kwamba atapata zawadi,hiyo siyo zawadi tena. Hata hivyo tunamuomba rais afuate ngano wa watangulizi wake. Asamehe saba mara sabini.
Alishawaachia mashehe wa uamsho wa kutoka visiwani inatosha, wengine wacha waendelee kulimia meno.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huo udikteta anaupractice wapi mama wa watu?
Rais Samia atadharaulika na kusemwa sana kwa tukio lililo la wazi kabisa na kuobea watu.

Makomandoo walibambikiwa kesi, wateswa, wengine hata hawajulikani waliko. Baadaye katika kuifurahisha nafsi yake, akaruhusu Mbowe akamatwe na atengenezwe kesi itakayomfanya akae jela, ili tu aifurahishe nafsi yake kuwa ana uwezo wa kumweka mtu yeyote jela hata kama mtu huyo hana hatia.

Kwa huo uchafu, ushetani, unyama na ukosefu wa utu na hekima, alioufanya, hata atende mazuri milioni 10, wanaipenda haki, kamwe hawatamsifu, hawatapenda na wala hawatamwamini kama mtu aliye mkweli wa nafsi yake kwa kauli na matendo.

Maadamu unyama huu wa kesi za kubambikiza alioukuta, ameubariki na kuuendeleza, naye hawezi kukwepa sifa sahihi ya matendo hayo, kuwa naye ni dikteta mnafiki.
 
Wapo mkuu ...nimeona video mtandaoni ya kaka yake John Dillinger ( DJ JD) akiwa anapokelewa toka ndichi.
 
Rais Samia atadharaulika na kusemwa sana kwa tukio lililo la wazi kabisa na kuobea watu.

Makomandoo walibambikiwa kesi, wateswa, wengine hata hawajulikani waliko. Baadaye katika kuifurahisha nafsi yake, akaruhusu Mbowe akamatwe na atengenezwe kesi itakayomfanya akae jela, ili tu aifurahishe nafsi yake kuwa ana uwezo wa kumweka mtu yeyote jela hata kama mtu huyo hana hatia.

Kwa huo uchafu, ushetani, unyama na ukosefu wa utu na hekima, alioufanya, hata atende mazuri milioni 10, wanaipenda haki, kamwe hawatamsifu, hawatapenda na wala hawatamwamini kama mtu aliye mkweli wa nafsi yake kwa kauli na matendo.

Maadamu unyama huu wa kesi za kubambikiza alioukuta, ameubariki na kuuendeleza, naye hawezi kukwepa sifa sahihi ya matendo hayo, kuwa naye ni dikteta mnafiki.
Hiyo kesi ya wakina mbowe si imeanza toka enzi za JPM?
 
Najua kuna watu watasema haya ndiyo mambo ya kumkebehi rais tusiyoyapenda.

Lakini ukweli ni kwamba,kama alivyosema jana Erythrocite hakuna mfungwa aliyesamehewa katika hii sherehe.

Kusamehe wafungwa siku ya uhuru ina maana sana. Inaonyesha mtu anaelewa uhuru maana yake nini.
Inaonyesha imani kwa wananchi,kwamba labda wanaweza kujiheshimu.

Inaonyesha kujiamini kwa viongozi,kwamba wanaweza kusamehe wafungwa wachache bila kuhatarisha amani.

Halafu mgeni wa heshima alikuwa anaitwa "Uhuru".
Kusamehewa ni zawadi. Na kama matu ana dakika kwamba atapata zawadi,hiyo siyo zawadi tena. Hata hivyo tunamuomba rais afuate ngano wa watangulizi wake. Asamehe saba mara sabini.
Mkuu,hutaki kujifunza tabia za viongozi.wetu na imani zao.

Jana kuna mzee alipewa msamaha ndugu.hawakuamini.

Mzee huyu alifungwa tangu mwaka 83,alipewa kesi ya mauwaji.mwenyewe aliniambia ilikua amalize kifungo chake mwaka 2030.

Nilikua nawasiliana na mtotowake aliemuacha tumboni ....
Kwakua nilikaana siti.moja kwenye basi.
Mtoto na familia walifurahi sana.

Kwa ufupi waislam haeapendi sifa.ingekua yule mpendasifa angeshatangaza kua amesemehe wafungwa lakimoja.kumbe hata mia2 hawafiki.

Kama unakumbuka mwensazake alishawapa baraka zote askari wa wafungwa wawafanye wanavyotaka.
Kwabahati nzuri askari wenyewe ndio wana huruma na binadamu wenzao ,lakini walishaambiwa wasiwaache wapumnzike.wawatumie.
 
Rais Samia atadharaulika na kusemwa sana kwa tukio lililo la wazi kabisa na kuobea watu.

Makomandoo walibambikiwa kesi, wateswa, wengine hata hawajulikani waliko. Baadaye katika kuifurahisha nafsi yake, akaruhusu Mbowe akamatwe na atengenezwe kesi itakayomfanya akae jela, ili tu aifurahishe nafsi yake kuwa ana uwezo wa kumweka mtu yeyote jela hata kama mtu huyo hana hatia.

Kwa huo uchafu, ushetani, unyama na ukosefu wa utu na hekima, alioufanya, hata atende mazuri milioni 10, wanaipenda haki, kamwe hawatamsifu, hawatapenda na wala hawatamwamini kama mtu aliye mkweli wa nafsi yake kwa kauli na matendo.

Maadamu unyama huu wa kesi za kubambikiza alioukuta, ameubariki na kuuendeleza, naye hawezi kukwepa sifa sahihi ya matendo hayo, kuwa naye ni dikteta mnafiki.
"Akaruhusu Mbowe akamatwe"-Duh, kwa hiyo watu wote wanaokamatwa nchi hii lazima Samia aruhusu? Au Mbowe ni special case ilibidi awe treated tofauti na watanzania wengine? Kweli haya ni mahaba niue
 
WAFUNGWA WENGI SANA WAMEFUNGULIWA, TENA WENGINE NAWAFAHAM. SASA WEWE DUDU VULE AMBAYE UKO NYUMA YA KEYBOARDS 24/7 UTAJUAJE MAMBO YA MAMA TANZANIA? JITU ZIMA OVYOOOOO
 
Najua kuna watu watasema haya ndiyo mambo ya kumkebehi rais tusiyoyapenda.

Lakini ukweli ni kwamba,kama alivyosema jana Erythrocite hakuna mfungwa aliyesamehewa katika hii sherehe.

Kusamehe wafungwa siku ya uhuru ina maana sana. Inaonyesha mtu anaelewa uhuru maana yake nini.
Inaonyesha imani kwa wananchi,kwamba labda wanaweza kujiheshimu.

Inaonyesha kujiamini kwa viongozi,kwamba wanaweza kusamehe wafungwa wachache bila kuhatarisha amani.

Halafu mgeni wa heshima alikuwa anaitwa "Uhuru".
Kusamehewa ni zawadi. Na kama matu ana dakika kwamba atapata zawadi,hiyo siyo zawadi tena. Hata hivyo tunamuomba rais afuate ngano wa watangulizi wake. Asamehe saba mara sabini.
Yaani hata Sabaya hajaachiwa duh🙄🙄
 
Back
Top Bottom