Huyu mama (shemej yenu) kwakweli kazidi kisirani. Kila siku mimi jukumu langu ni kumbembeleza tu na yeye la kwake ni kunitibua. Kifupi hapendi amani nachoka kubembeleza wakuu nakua nalea badala ya kua na mwenza au tatizo ni age difference maana nimemuacha 9 years?
ha ha haha pole aisee kwa kuwa na kisirani.. tell her your grown up.. stop act like a baby you fool...... yawezekana ulimwambia unapenda demu anayedeka sasa wengine hawajui kudeka na kulalama ni tofauti.... zigo lako hilo beba muwe real
Dawa moja, stop caring hivyo visiran vyake. Atajiweka sawa na kujirudi mwenyew.
Akinuna nuna hovyo, bila ishu ya msingi mind ur ishu fanya jambo lingine, weka movie, music,chukua kitabu soma. Kama ndo mchana, mwambie unatoka kidgo.
Kisirani kakianza lini? Au kipo tangu Mwanzo. Hiyo tofauti ya umri ipo vipi maana kama ni miaka 39 kwa 30 nyote ni watu wazima. Jitahidini umbembeleza zaidi ya unavyombembeleza sasa ili "Ahisi kubembelezwa ni jambo la kawaida".
kama ulimdekeza tangu mnaanza mapenzi ataachaje kudeka sasa hivi,inategemea na mapenzi tangu mwanzo na wala sio umri,hata angekuwa kakuzidi angedeka tu as long as msingi wa mapenzi yenu mliuweka hivyoo.
Huyu mama (shemej yenu) kwakweli kazidi kisirani. Kila siku mimi jukumu langu ni kumbembeleza tu na yeye la kwake ni kunitibua. Kifupi hapendi amani nachoka kubembeleza wakuu nakua nalea badala ya kua na mwenza au tatizo ni age difference maana nimemuacha 9 years?