Kurutamjanja
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 396
- 377
Wadau Mimi nina jamaa yangu mmoja tunaheshimiana sana na ziada ya rafiki. Tunatembeleana na ana mke na mkewe namheshimu sana, na huyo mke wa jamaa siku zote kwa muonekano anaonekana ana heshima sana.
Sasa juzi kati nilikuwa bar moja yenye guest house hapohapo. Sasa nikashangaa kuona mke wa jamaa yangu huyo Shemeji yangu anatokea vyumbani na jamaa ambaye sio mumewe.
Na yule Shemeji akaniona. Walipotoa baada ya muda Shemeji yangu alirudi na kunisihi nisimwambie Mumewe. Nikamkanya na kumuahidi sitomwambia jamaa yaani mumewe.
Lakini yule mwanamke akasema ili ajiridhishe kwamba sitomwambia mumewe basi na mimi anipe mzigo nile hapo atakuwa na amani. Nikamkatalia sasa shem ananiambia nisipokubali kutembea nae atamwambia mumewe kuwa mimi namtaka kimapenzi.
Sasa je nifanyeje. Nimwambie jamaa au nimle?
Sasa juzi kati nilikuwa bar moja yenye guest house hapohapo. Sasa nikashangaa kuona mke wa jamaa yangu huyo Shemeji yangu anatokea vyumbani na jamaa ambaye sio mumewe.
Na yule Shemeji akaniona. Walipotoa baada ya muda Shemeji yangu alirudi na kunisihi nisimwambie Mumewe. Nikamkanya na kumuahidi sitomwambia jamaa yaani mumewe.
Lakini yule mwanamke akasema ili ajiridhishe kwamba sitomwambia mumewe basi na mimi anipe mzigo nile hapo atakuwa na amani. Nikamkatalia sasa shem ananiambia nisipokubali kutembea nae atamwambia mumewe kuwa mimi namtaka kimapenzi.
Sasa je nifanyeje. Nimwambie jamaa au nimle?