Shemeji Wa ajabu

Shemeji Wa ajabu

topr

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
700
Reaction score
654
Nadiriki kumuita ivyo cos mm Kama mwanaume hainiingii akilini vitendo alivyokua anafanya,alianzisha mausiano na Dada binamu wangu ambae tayari alikua na mchmba na ivi sasa anamume wake!mumealali wa sister alienda njee kikazi kwa mud a Wa miaka2 baada ya Kama miezi mitano kupita Dada akashidwa kuvumilia (msisimko Wa kimwili)ndipo akakutana na shemeji Wa ajabu akamsotea Dada Kama miezi miwili akakubaliwa apo ndipo alipo anzisha manjonjo kwanza kamuamisha Dada nyumba alio kua anakaa kampangia upande mzima,kabadilisha vitu vyote ya ndani kochi kitanda,kabati,frig, na vingine kaweka vipya.

shopping anafanyiwa kila mwezi kuanzia nguo na vitu vingine,kamfungulia sister bonge LA duka kavipodozi,sister na mumewake walikua na kiwanja mbezi awajajenga jamaa kaona mbezi mbali kamnunulia sister kiwanja kimara na kamjengea ndani ya miezi mi3nyumba nzuri.kilicho nichosha mume Wa sister akiishiwa Pesa uko njee akimwambia Mkwe amtumie jamaa anasema anamtumia yeye anatoa ela yake anamtumia mume mwenzie.mwezi Wa tatu mume Wa sister karudi basi jamaa kamwambia sister anampenda sema kaisha olewa ataki kuaribu ndoa yake so wakaachana toka mwezi Wa tatu mpaka kesho ajawai kumpigia simu sister wala kumtafuta du Leo nimekuja kwa sister nimeiyona ihii nyumba nimemkumbuka kweli huyu jama nimeshindwa kuelewa alipenda Sana or mini?maana hii nyumba kajenga nzuri kushinda yakwake.kweli ni shemeji wa ajabu!:what::what::what::what::what:
 
hao ndiyo wanawake!!

Hakuna mapenzi bila rupia,.. Pole yake.
 
hahaha kazi ipo, inawezekana jamaa jini hilo
 
Kabla ya kuanza mausiano walienda kupima na ata walipo achana walipima pia wako salama
 
Kwa maelezo yako tuu' inaonekana wewe umemkubali saaana shimeji jini kuliko shemeji halali!!
 
hahaha kazi ipo, inawezekana jamaa jini hilo

Hhahahah jamaa sio jini nimchaga mmoja ivi na yeye mwenyewe anamke kinacho nichosha alimpenda Sana sister mpaka kuamua kuwekeza ivyo or non?????
 

Attachments

  • 1397735578855.jpg
    1397735578855.jpg
    6.4 KB · Views: 1,237
Huyo dada yako atakuja kuishia pabaya tu hata afanyaje. Hilo siyo jambo la kujisifia hata kidogo.

Kwanza amemuumiza mume wake halali na kukimbilia hawara.

Pili anamuumiza mke wa mtu pamoja na watoto wake. Inawezekana watoto hawapati matunzo na mapenz ya baba kwa sababu ya umalaya wa dada yako.

Nachukia sana watu wanaovunja ndoa za watu. Siku atakaporumiwa radi imbomoe mchana kweupe ndo utakenua meno vizuri.
 
Dada anatigo inayobana sana. si ajabu jamaa ndio katoa bikra ya uani mwenyewe ndio maana kachanganyikiwa. Mijike mingi Dar imegawa tigo tangia utotoni kiasi hata ni bora upige voda tu. yaani tigo ni toboootobo
 
Huyo dada yako atakuja kuishia pabaya tu hata afanyaje. Hilo siyo jambo la kujisifia hata kidogo.

Kwanza amemuumiza mume wake halali na kukimbilia hawara.

Pili anamuumiza mke wa mtu pamoja na watoto wake. Inawezekana watoto hawapati matunzo na mapenz ya baba kwa sababu ya umalaya wa dada yako.

Nachukia sana watu wanaovunja ndoa za watu. Siku atakaporumiwa radi imbomoe mchana kweupe ndo utakenua meno vizuri.

Ujaelewa maada kaka Dada yangu ajavunja ndoa ya mshikaji naasilimia 99.9%mke wa msikaji ajui Kama mume wake alikua na mwanamke njee na wameachana kiustarabu cos ata shemeji yangu ajui Kama Mkwewe alikua na mwanaume mwingine nacho kishangaa niuyu shemeji Mdogo kuudumia mke wa mtu na mwenyemali alivyo rudi kamuachia Mali yake
 
Ujaelewa maada kaka Dada yangu ajavunja ndoa ya mshikaji naasilimia 99.9%mke wa msikaji ajui Kama mume wake alikua na mwanamke njee na wameachana kiustarabu cos ata shemeji yangu ajui Kama Mkwewe alikua na mwanaume mwingine nacho kishangaa niuyu shemeji Mdogo kuudumia mke wa mtu na mwenyemali alivyo rudi kamuachia Mali yake

Nipe namba ya shemeji yako aliyekuwa na Dada ako mi niendelee nae nimtoe upweke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom