Shemeji ananitaka

Hajanivutia na hata kama angekuwa anavutia kwasababu ni shemeji nisingeweza
Hivi unavyomuita SHEMEJI, yeye na huyo rafiki yako wameoana au wanakulana tu? Mi nnavyoelewa shemeji ni mtu ALIEOA ndugu yako. Otherwise hao saa yoyote wanaweza kuachana.. na kwavile wewe pia hujaolewa... unaeza shangaa huyo shemeji ndio anakuja kuwa mume wako.
 
Ndiyo umeamua unitangaze hadharani? Sasa utake usitake lazima tu utanipa kipochi manyoya na sitaacha ng'oo kukuomba kila siku.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Hapana nitakuwa nimemkosea kabisa rafiki yangu siwezi kufanya hivyo kwanza huyu shemeji anaonekana hana hiyo mipango ya ndoa bado anaenjoy life la ujana japo ana kama 33 hivi
 
Hapana nitakuwa nimemkosea kabisa rafiki yangu siwezi kufanya hivyo kwanza huyu shemeji anaonekana hana hiyo mipango ya ndoa bado anaenjoy life la ujana japo ana kama 33 hivi
Wee bana we..😄 maisha ni safari ndefu. Miaka 10 ijayo, huyo shemeji alishaachana na rafki yako siku nyingi, na wewe mlishazinguana na huyu jamaa yako wa sasa.. utashangaa penzi lenu na shemeji jinsi litakavyopamba moto 🔥🔥 Saa hiyo wote mnatafuta chaka la kustaafia 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…