Habari wana mmu,
Nina rafiki yangu mpendwa katika Bwana,alikuwa na mpenzi wake aliempenda sana kuliko maelezo na kwa bahati mbaya hivi sasa wameachana,na kisa cha kuachana ni shem kudai kwamba Mungu ameongea nae kwenye ndoto kwamba huyo sio mkewe, Hivi ninapoandika sasa kwakuwa wote wameokoka,huyu rafiki yangu aliamua kumwomba Mungu ili ampe moyo wa kumsamehe na kusahau ila tatizo liko hapa,ameongea hadi na wachungaji na marafiki zake wapendwa waliokuwa nae ktk maombi,dada wa watu amelia sana akimwomba Mungu kwamba autoe huu upendo kwa huyo mwanaume lakini hadi sasa moyo umekataa.
Amefanya juhudi hadi kuamka usiku na kulia kwenye maombi sana hadi tunamwonea huruma,kibaya huyo kaka anamtumia msg ikiwa inaenda kwa mpenzi mpya ili kumuumiza na hawana mawasiliano yeyote ingawa huyo dada huwa anatamani kumpigia ila anajikaza tu,wote ni walimu wanamaliza mwakani,wapendwa ni kweli Mungu anaweza kumwotesha mtu ndoto kama hiyo na hapohapo akakupa mwingine?maana huyo kaka anajua jinsi anavyopendwa plz mchango wenu, Samahani sana kwa mpangilio mbovu nawasilisha
Nina rafiki yangu mpendwa katika Bwana,alikuwa na mpenzi wake aliempenda sana kuliko maelezo na kwa bahati mbaya hivi sasa wameachana,na kisa cha kuachana ni shem kudai kwamba Mungu ameongea nae kwenye ndoto kwamba huyo sio mkewe, Hivi ninapoandika sasa kwakuwa wote wameokoka,huyu rafiki yangu aliamua kumwomba Mungu ili ampe moyo wa kumsamehe na kusahau ila tatizo liko hapa,ameongea hadi na wachungaji na marafiki zake wapendwa waliokuwa nae ktk maombi,dada wa watu amelia sana akimwomba Mungu kwamba autoe huu upendo kwa huyo mwanaume lakini hadi sasa moyo umekataa.
Amefanya juhudi hadi kuamka usiku na kulia kwenye maombi sana hadi tunamwonea huruma,kibaya huyo kaka anamtumia msg ikiwa inaenda kwa mpenzi mpya ili kumuumiza na hawana mawasiliano yeyote ingawa huyo dada huwa anatamani kumpigia ila anajikaza tu,wote ni walimu wanamaliza mwakani,wapendwa ni kweli Mungu anaweza kumwotesha mtu ndoto kama hiyo na hapohapo akakupa mwingine?maana huyo kaka anajua jinsi anavyopendwa plz mchango wenu, Samahani sana kwa mpangilio mbovu nawasilisha