Shekif ukuu wa mkoa na ubunge

Shekif ukuu wa mkoa na ubunge

jnuswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,270
Reaction score
549
Najua huyu mh. Mbunge na bado anaendelea kuwa mkoa wa Manyara, ilo linakera , lakini kero zaidi ni namna anayotoa hoja bungeni ni kama kwanza ndo bado yuko kule kwa wananchi alikozoa kutoa amri mkoani.
Kama kuna yoyote aliyesikiliza kikao cha bunge cha jioni ya leo ataungana nami, anatoa ushauri kwa serikali kuwa iwathibiti hao wanao fanya mikutano ya siasa, kwake hiyo anaiona ni kama ni vurugu katika nchi. hapa naona tatizo la mtu kuwa na kofia zaidi ya mmoja , hivi anafikiri pale anaongoza ni mkoa ? ndo maana waligombana na Ole Sendeka , hana maana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hilo lizee huwa halina akili, mi nimesoma na mwanae kabisa naye alikuwa vivyo hivyo, lina uroho wa madaraka sana na ubwa nyenye linaupenda kama ulisikiliza hoja za Silinde utakuwa tuko pamoja sana.
 
Nakubali bwenyenye babu kubwa , haya ndo yanayoweza kuhatarisha amani, muonekano wake na point linazotoa haviendani pumba tupu
 
...ukuu wa mkoa na ubunge...huyu simtegemei kabisa kama anaweza kukataa posho za bungeni na vikao
 
Hana lolote namjua in out ni mbunge wa jimbo langu. Alipigwa chini 2005 akarudi tena mwaka jana na akashinda kwa njia za ki ccm. Huwa anapenda sana kucheza na wanawake ngoma moja inaitwa kidembwa, kina mama hao pombe yao maarufu inaitwa boha.

Asubiri gharika 2015.
 
kumbe na akina mama ngoma, wameliathiri na kasauti kama mwanamke
 
Nimemuona huyo jamaa leo, watu wanachangia %Yrs development plan yeye yupo busy kusema wanaofanya fujo wakamatwe!
Sikuelewa ni mbunge wa wapi wala anaitwa kitu gani, lakini nilijua dhahiri kuwa wananchi waliomchagua WAMELIWA MAZIMA!!
 
Siyo mkuu wa mkoa tena. Nimemsikia anaongea huwezi amini kama mtu wa aina hiyo amewahi kuwa kiongozi serikalini. Pengine ndiyo maana ameacha migogoro mikubwa ya ardhi huko Manyara.
 
Najua huyu mh. Mbunge na bado anaendelea kuwa mkoa wa Manyara, ilo linakera , lakini kero zaidi ni namna anayotoa hoja bungeni ni kama kwanza ndo bado yuko kule kwa wananchi alikozoa kutoa amri mkoani.
Kama kuna yoyote aliyesikiliza kikao cha bunge cha jioni ya leo ataungana nami, anatoa ushauri kwa serikali kuwa iwathibiti hao wanao fanya mikutano ya siasa, kwake hiyo anaiona ni kama ni vurugu katika nchi. hapa naona tatizo la mtu kuwa na kofia zaidi ya mmoja , hivi anafikiri pale anaongoza ni mkoa ? ndo maana waligombana na Ole Sendeka , hana maana

Mkuu Shekifu si mkuu wa mkoa. Utaratibu uko hivi: Ukiwa serikalini ukateuliwa na chama chako na kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea ubunge unakoma kuwa mtumishi wa serikali na hata ukishindwa huwei kurudi kuwa mkuu wa mkoa. Mfano Abdulaziz aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa baada ya kushindwa na mgombea wa CUF hakurudi kuwa mkuu wa mkoa, yuko benchi labda ateuliwe tena. Pia yupo Monica mbega si mkuu wa mkoa tena baada ya kushindwa.

Maongezi yake sina comment.
 
kwa hoja ya kuacha ukuu wa mkoa iweke vizuri sijaelewa hapo, Cristina Ishengoma ni mkuu wa mkoa wa Ruvuma tena ni mbunge viti maalum, hili suala si ndo linalopigiwa kelele mtu kuwa na kofia mbili wakati wengine wanatafuta kazi,
 
kama kuna mtu atuangalizie hao kina Mbega na Abdulaziz wanaendelea kulipwa mishahara ya wakuu wa mikoa maana nchi hii imeshakuwa shamba la bibi. Hivi JK hajateua wakuu wapya?
 
wakuu wapya bado , lakini utashangaa analiacha linaendelea na kofia mbili, si uliona llivyokuwa kwa Lukuvi , hapa lazima linapiga posho sehemu mbili
 
Mkuu Shekifu si mkuu wa mkoa. Utaratibu uko hivi: Ukiwa serikalini ukateuliwa na chama chako na kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea ubunge unakoma kuwa mtumishi wa serikali na hata ukishindwa huwei kurudi kuwa mkuu wa mkoa. Mfano Abdulaziz aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa baada ya kushindwa na mgombea wa CUF hakurudi kuwa mkuu wa mkoa, yuko benchi labda ateuliwe tena. Pia yupo Monica mbega si mkuu wa mkoa tena baada ya kushindwa. Maongezi yake sina comment.
naomba msaada wako ndugu mataka kujua eti mbunge naye ni mtumishi wa serikali? Kama walivyo madaktari, walimu, manesi, etc. Kuna vjana wa magamba wanantia kinyaa sana na hoja zao za ki,,se ng..e. Msaada plz
 
hee! usiniambie!!nilikuwa nabahatisha kwa muonekano, namjua sana,lakini kila akipita mbele yangu hilo wazo linanijia ghafla!
jaribu kumwomba huenda akaachia ktufe mzee mzma ukala kdude cha jicho. Me ananiboa pale anapobinua binua midomo kama anaramba koni...!?
 
Back
Top Bottom