Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Hotuba nyingi za JK hasa zile za kutoa ahadi ni kama vile za kutabiri, kama ahadi aliyowaachia Wachagga ya kuendesha mafunzo ya shule kwa kutumia teleconferencing kufikia 2015 ni kama utabiri vile! Lazima Shekh Yahya atakuwa ana mchango wake kwenye hizi hotuba!!