GE2025 Shekh Mwaipopo: Askofu Gwajima anaandaliwa na CHADEMA kugombea Urais uchaguzi mkuu 2025

GE2025 Shekh Mwaipopo: Askofu Gwajima anaandaliwa na CHADEMA kugombea Urais uchaguzi mkuu 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo

 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo

Sheikh matako
 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo

Aaropokwa kama.mwanamke alie uchi.
 
Nakumbuka miaka ile "misukule" inafufuliwa kwa Gwajima!
Watu wametoka mbali. Wacheni ajaribu kwa upande wa ikulu Sasa.
 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo


Huyu na Gwajima doctorate holder wapi na wapi?
 
ASANTE SANA MWAIPOPO,HAWA MBONA WAPESI TUH TUTADEAL NAO VIZURI TUH...BRING IT ON COMRADES
 
Anaandaliwaje wakati CHADEMA haishiriki uchaguzi. Halafu huyo Shehe hakusikiliza mahojiano ya Mh. Heche. Ni kwamba iwapo reforms zitafanyika, CHADEMA wapo tayari kuingia kwenye uchaguzi na kumpa fomu Mh Lissu akiwa gerezani.

Tukisema waende shule badala ya madrasa wanatuita makafiri, kwa ufahamu huu usiojaa hata kisoda si bora tuwe makafiri tu!
 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo

🤣🤣
 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo


Malaria 2 hawa ndugu zenu ndiyo wanaowaharibia kabisa ..aa! Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba

Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia Suluhu Hassan. Amesema Shekh Mwaipopo

Shekh manguruwe mnywa vinyo
 
Back
Top Bottom