Shekh Mwaipopo amemtabilia makubwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza kwa elimu na usomi alioupata katika ngazi ya chuo kikuu.
Amesema mafanikio ya Dkt. Mwigulu yamechangiwa pia na nidhamu, kujituma, uwezo wa kuwasikiliza wananchi na...
Huyu jamaa anayejita shekh mbona serikali inamuacha na kauli zake, au anatumika kwenye matukio yao?
Na amini angezungumza maneno haya mpizani wa serikali basi kwa sasa angekuwa katika hali mbaya sana na kesi ya uhaini juu
==============
Akizungumza kuhusu maandamano yaliyopangwa kufanyika Julai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.