Shekh atoa makuu 3 ya mwanamke mwema

Shekh atoa makuu 3 ya mwanamke mwema

KevinJazdow

New Member
Joined
Jan 11, 2018
Posts
4
Reaction score
10
1: Awe mtalaam chumbani.
Mtalaam wa mahaba Shekh.

2: Awe hodari jikoni ajue kupika chakula kizuri,
hii wanaweza. Kina mama wengi wanaweza.

Hii ya tatu ndio nzito

3: Awe na lugha tamu hata kama ana hasira,
hiyo ndio kazi Shekh.

Nini maoni yako?

 
Bado natafuta wa 25 and above. M
mwanza kwetu
 
Dah! Sheikh ana balaa kweli kweli. Yaani msimsikilize kabisa. Ukiona umeoa mke halafu ni mtaalam kitandani unapaswa kujiuliza practical amefanyia wapi
 
Hahahaaaa sheikh kipozeo bana,practical kaifanyia wapi kwani kamkuta na bikra??
 
Nikweli mwanamke mjuuzi wa hayo lazima kwanza atakua na kiburi akijivunia huo upuuziwake kwa akili yake inamtuma kwamba ukimwacha atampagawisha mwingine ili amuoe
 
Nikweli mwanamke mjuuzi wa hayo lazima kwanza atakua na kiburi akijivunia huo upuuziwake kwa akili yake inamtuma kwamba ukimwacha atampagawisha mwingine ili amuoe
Hamkosi la kusema lol!!
 
Yakusema yapo tatizo shekhe wetu kamaliza yote hadi yale yakuongea tukiwa wawili
 
1: Awe mtalaam chumbani.
Mtalaam wa mahaba Shekh.

2: Awe hodari jikoni ajue kupika chakula kizuri,
hii wanaweza. Kina mama wengi wanaweza.

Hii ya tatu ndio nzito

3: Awe na lugha tamu hata kama ana hasira,
hiyo ndio kazi Shekh.

Nini maoni yako?

 
Back
Top Bottom