PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Viongozi wote wanakwepa neno HAKI.
 
Ukimuliza mtanzania yeyote angependa kuishi wapi kati ya Tanzania au uingereza ( ulaya);atachagua uingereza.jiulize kwanini! Nchi za ulaya miaka ya 1848 zilikuwa na vuguvugu kama hili la no reforms no election kwasababu ya unfair elections kwa wakati huo. Ndio maana nchi za ulaya zimeendelea na kila mtu anazitamani. Tusijifiche kwenye kichaka Cha amani huku tunauana na kuibiana kura
Ujinga mtupu. China kuna chama kimoja tu na wamepiga hatua zaidi ya Kenya hao wenye fair election. Hivi aliekuambia fair election ndo maendeleo ndio nani?. Au demokrasi ndio maendeleo? Angalia...nchi za kifalme za Kiarabu..UAE, Saudi Arabia, Qatar n.k hakuna huu ujinga man nchi zao zimepiga hatua kubwa sana
 
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

Yaani shida kubwa la watu wengi, huwa ni kuongea bila kujiuli6.
Hivi wanao haribu amani ya hii nchi ni kina nani kama sio serikali yenyewe? Utekaji una fanywa na nani? Wizi na ubadhirifu una fanywa na nani? Mauaji ya raia yana fanywa na nani? Acheni ku comment ujinga hapa. Serikali ifuate misingi ya utawala wa sheria tuta kaa kwa amani..
 
Ujinga mtupu. China kuna chama kimoja tu na wamepiga hatua zaidi ya Kenya hao wenye fair election. Hivi aliekuambia fair election ndo maendeleo ndio nani?. Au demokrasi ndio maendeleo? Angalia...nchi za kifalme za Kiarabu..UAE, Saudi Arabia, Qatar n.k hakuna huu ujinga man nchi zao zimepiga hatua kubwa sana
Na ulivyo na akili mgando unakili kuwa hatuna fair election. Jiulize kwanza ikiwa mtu anaiba kura ili awe kiongozi anashindwaje kuiba rasimali za nchi? Kama china Wana chama kimoja kwanini tumekubali kuwa na vyama vyongi? Basi turudi kwenye chama kimoja ijulikane na si huu ujinga wenu mnaoita uchaguzi!
 
Yemen inapigana na Saudia kule Sudan Dafur wanauana wenyewe kwa wenyewe hata Somalia Syria kote ni wenyewe kwa wenyewe
Kwani Urusi na Ukraine ni Warabu wale? Mbona unanyea mdomoni badala ya tundu husika!!?
 
Hawakemei Uovu akiwa mtu wao,ushamuona Zito, Abdul nondo wanaongea
 
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

Ni lugha iliyotumika kuwatisha watu wasifanye mabadikiko tangu 1995, uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mpaka leo miaka 30. Hata hivyo watu wanakufa bila dawa, hawana bima, madaraja mabovu na maisha magumu.
 
Amani gani Anazungumzia huyo shehena. Hakuna anayehitaji vita, tunahitaji mazingira sawa ya kushiriki chaguzi ili tuongozwe na watu wanaotokana na matakwa ya wanajamii.

Viongozi watakaoongea lugha moja na waongozwa, sio wa kuwaita watu mashetani mara kenge.

Kama ikishindikana basi wacha nchi ichangamke kidogo kama Yemen na Palestina.
 
Kwani kitendo cha wacristo kuruhusu ndoa za jinsia Moja kupitia makanisa yote Duniani sio vurugu? Au ujui kuwa mfumo Cristo ndio chanzo cha machafuko duniani
Unajua maana ya makanisa ya kikristo? Sisi wakristo tunaamini dini zote zimeanzishwa na wanadamu hadi uislamu. Kama Allah ni muweza wa yote kwanini hakumpa uwezo Mohamad kujua kusoma na kuandika. Muongozo wa wakristo upo kwenye Biblia
1 wakorinto 6-9
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti
 

Attachments

  • downloadfile-1.png
    downloadfile-1.png
    627.4 KB · Views: 6
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

umenena nyema.
tuheshim amani yetu
 
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

Wanatuhusu nini!?
 
Ujinga mtupu. China kuna chama kimoja tu na wamepiga hatua zaidi ya Kenya hao wenye fair election. Hivi aliekuambia fair election ndo maendeleo ndio nani?. Au demokrasi ndio maendeleo? Angalia...nchi za kifalme za Kiarabu..UAE, Saudi Arabia, Qatar n.k hakuna huu ujinga man nchi zao zimepiga hatua kubwa sana
Unaijua na kuifahamu katiba ya CHINA?
NoreformsNoelection
 
Nchi za machafuko tumeenda mbona....
Watu huko wanatafuta,kuheshimiana

Ova
 
Back
Top Bottom