Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,692
Dua ya Sheikh wa Mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke mbele ya Rais Samia
"Nchi yetu ina utamaduni wake ina culture yake, ina aina ya maisha yake. Tunakuomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi mwaka huu, utuepushe na chama chochote kitachotuingizia utamaduni usio wa Kitanzania. Tunalaani mbele yako mol wetu utamaduni wa mapenzi ya jinsia moja. Mwenyezi Mungu tukinge na utamaduni huo usiiingie katika nchi yetu na chama kitachoelekeza matendo hayo, Watanzania wape nguvu ya kukitaa na kudeal nachama hicho'
"Nchi yetu ina utamaduni wake ina culture yake, ina aina ya maisha yake. Tunakuomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi mwaka huu, utuepushe na chama chochote kitachotuingizia utamaduni usio wa Kitanzania. Tunalaani mbele yako mol wetu utamaduni wa mapenzi ya jinsia moja. Mwenyezi Mungu tukinge na utamaduni huo usiiingie katika nchi yetu na chama kitachoelekeza matendo hayo, Watanzania wape nguvu ya kukitaa na kudeal nachama hicho'
,