Shehe ubwabwa go and check the archives jinsi Mkapa na Magufuli walivyosemwa ilhali hawakuwa wauaji kiwango cha Samia, hawakuiba kama Samia, hawakunufaisha familia zao kama Samia na hawakuwahi kutuma polisi kufanya massacre live kama anavyofanya Samia.
Yaani aachiwe aue tu kwa kuwa ni Muislamu? How did this fool become a religious leader?