Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
hakika jumapili kwenye kanisa la ufufuo na uzima ilikuwa siiku ya furaha na ajabu,...miujiza mingi ilitokea watu walifunguliwa
shtuko lililowashangaza watu ni pale yule sheikh rashid alieamua kumpokea yesu hivi karibuni na kuitwa matayo ametangaza rasmi walitumika kumchkua marehemu sokoine na hivi anavyoongea sokoine anaamini ipo siku atarudi ,...amesema katk kumchukua msukule walileetewa tarifa na kiongozi mmoja na kuhaidiwa baadhi ya mambo mazuri ....uku akisikitika amesema anahuzunika sana kwa walichokifanya ila ni amri ilioletwa ikwaambia wakuu wa tatu wa nchi kipindi hicho wanaitaji kijana asiwepo tena....machozi yalianza kuwatoka watu huku wakisikitaka......
Hakkika mungu alieniokoa ipo siku atamrudisha sokoine
nawaakikishia hata sheikh yahya aatakuwa wa kwanza kuja hapa kumkiri yesu watanzania mungu ameamua kubadili ulimwengu
sifa kwa yesu
shtuko lililowashangaza watu ni pale yule sheikh rashid alieamua kumpokea yesu hivi karibuni na kuitwa matayo ametangaza rasmi walitumika kumchkua marehemu sokoine na hivi anavyoongea sokoine anaamini ipo siku atarudi ,...amesema katk kumchukua msukule walileetewa tarifa na kiongozi mmoja na kuhaidiwa baadhi ya mambo mazuri ....uku akisikitika amesema anahuzunika sana kwa walichokifanya ila ni amri ilioletwa ikwaambia wakuu wa tatu wa nchi kipindi hicho wanaitaji kijana asiwepo tena....machozi yalianza kuwatoka watu huku wakisikitaka......
Hakkika mungu alieniokoa ipo siku atamrudisha sokoine
nawaakikishia hata sheikh yahya aatakuwa wa kwanza kuja hapa kumkiri yesu watanzania mungu ameamua kubadili ulimwengu
sifa kwa yesu