Sheikh Ponda: Wanasiasa wanaamini wakiwepo viongozi wa dini kwenye siasa, dhamira zao za ubinafsi zitapata upizani mkubwa

Sheikh Ponda: Wanasiasa wanaamini wakiwepo viongozi wa dini kwenye siasa, dhamira zao za ubinafsi zitapata upizani mkubwa

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanasiasa wengi hawapendi viongozi wa dini kushiriki katika masuala ya siasa kwa sababu wanaamini hatua hiyo inaweza kuathiri maslahi yao binafsi.

“Wanasiasa wanaamini kwamba wakiwepo viongozi wa dini kwenye siasa, dhamira zao za ubinafsi zitapata upinzani mkubwa kutoka kwa viongozi wa dini,” alisema Sheikh Ponda.

 
Back
Top Bottom