PreGE2025 Sheikh Ponda Issa Ponda: Ni muhimu kujiandikisha Kupiga Kura, unatumia haki yake ya Kikatiba

PreGE2025 Sheikh Ponda Issa Ponda: Ni muhimu kujiandikisha Kupiga Kura, unatumia haki yake ya Kikatiba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Sheikh Ponda Issa Ponda ambaye ni Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania ametoa neno kuhusu mchakato wa Uandikishaji na uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura unaoendelea Dar es Salaam:

Ulazima na Umuhimu uliokuwepo kwa Mwananchi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Kupiga Kura ni kupata na kutumia haki yake ya Kikatiba ya kushiriki kuweka Viongozi anaotaka wapewe jukumu la kuongoza Serikali na Taasisi zake.

1742560086213.png
Soma, Pia
 
Back
Top Bottom