GE2025 Sheikh Ponda Aomba Kura Temeke, Aahidi Kutetea Wananchi Kama Alivyofanya Mtwara

GE2025 Sheikh Ponda Aomba Kura Temeke, Aahidi Kutetea Wananchi Kama Alivyofanya Mtwara

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mgombea ubunge wa Temeke kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewa-omba wakazi wa Temeke kumchagua kuwa mbunge wao ili kuweza kuwakilisha kero zao bungeni, ka-ma alivyowahi kufanya kwa wananchi wa Mtwara wakati wa mgogoro wa gesi na mambo yakawa sawa.

Sheikh Ponda amesema hayo leo Jumatatu Septemba 15 2025, alipokuwa akizindua kampeni za ub-unge za chama hicho zilizofanyika Kata ya Tandika Devis kona relini jijini Dar es Salaam.

"Ukiangalia mimi sio mtu wa Mtwara ni wa Kigoma lakini niliwapambania watu wa huko hadi kuona haki inatendeka.

"Hivyo, nitakapopata ridhaa naamini nitakuwa mwakilishi mzuri wa kwenda kuwakilisha yale ambayo yametokana na wananchi wa Temeke," amesema Sheikh Ponda.

Screenshot 2025-09-15 230557.png
 
Mgombea ubunge wa Temeke kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewa-omba wakazi wa Temeke kumchagua kuwa mbunge wao ili kuweza kuwakilisha kero zao bungeni, ka-ma alivyowahi kufanya kwa wananchi wa Mtwara wakati wa mgogoro wa gesi na mambo yakawa sawa.

Sheikh Ponda amesema hayo leo Jumatatu Septemba 15 2025, alipokuwa akizindua kampeni za ub-unge za chama hicho zilizofanyika Kata ya Tandika Devis kona relini jijini Dar es Salaam.

"Ukiangalia mimi sio mtu wa Mtwara ni wa Kigoma lakini niliwapambania watu wa huko hadi kuona haki inatendeka.

"Hivyo, nitakapopata ridhaa naamini nitakuwa mwakilishi mzuri wa kwenda kuwakilisha yale ambayo yametokana na wananchi wa Temeke," amesema Sheikh Ponda.

View attachment 3472923
1000227957.jpg
 
Ukiacha
Mgombea ubunge wa Temeke kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewa-omba wakazi wa Temeke kumchagua kuwa mbunge wao ili kuweza kuwakilisha kero zao bungeni, ka-ma alivyowahi kufanya kwa wananchi wa Mtwara wakati wa mgogoro wa gesi na mambo yakawa sawa.

Sheikh Ponda amesema hayo leo Jumatatu Septemba 15 2025, alipokuwa akizindua kampeni za ub-unge za chama hicho zilizofanyika Kata ya Tandika Devis kona relini jijini Dar es Salaam.

"Ukiangalia mimi sio mtu wa Mtwara ni wa Kigoma lakini niliwapambania watu wa huko hadi kuona haki inatendeka.

"Hivyo, nitakapopata ridhaa naamini nitakuwa mwakilishi mzuri wa kwenda kuwakilisha yale ambayo yametokana na wananchi wa Temeke," amesema Sheikh Ponda.

View attachment 3472923
[/QUOT
Huyu ni mwanaharakati wa dini sio mwanasiasa anaweza ingia bungeni akaanza kudaiwanafunzi waruhusiwe kuvaa kanzu fupi shuleni.
 
Anaweza kushinda jimbo la temeke kama alivyoshinda gwajima jimbo la kawe
 
Back
Top Bottom