Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Mgombea ubunge wa Temeke kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewa-omba wakazi wa Temeke kumchagua kuwa mbunge wao ili kuweza kuwakilisha kero zao bungeni, ka-ma alivyowahi kufanya kwa wananchi wa Mtwara wakati wa mgogoro wa gesi na mambo yakawa sawa.
Sheikh Ponda amesema hayo leo Jumatatu Septemba 15 2025, alipokuwa akizindua kampeni za ub-unge za chama hicho zilizofanyika Kata ya Tandika Devis kona relini jijini Dar es Salaam.
"Ukiangalia mimi sio mtu wa Mtwara ni wa Kigoma lakini niliwapambania watu wa huko hadi kuona haki inatendeka.
"Hivyo, nitakapopata ridhaa naamini nitakuwa mwakilishi mzuri wa kwenda kuwakilisha yale ambayo yametokana na wananchi wa Temeke," amesema Sheikh Ponda.
Sheikh Ponda amesema hayo leo Jumatatu Septemba 15 2025, alipokuwa akizindua kampeni za ub-unge za chama hicho zilizofanyika Kata ya Tandika Devis kona relini jijini Dar es Salaam.
"Ukiangalia mimi sio mtu wa Mtwara ni wa Kigoma lakini niliwapambania watu wa huko hadi kuona haki inatendeka.
"Hivyo, nitakapopata ridhaa naamini nitakuwa mwakilishi mzuri wa kwenda kuwakilisha yale ambayo yametokana na wananchi wa Temeke," amesema Sheikh Ponda.