FIRAUNI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 266
- 355
We mzee inabidi ukalee wajukuu sasa hivi ...miaka 60+ yoote hiyo bado upo kwenye keyboard kuandika upuuzi!!- HAHAHAHAHAHAHA Katimba kutoka U deejay zamani mpaka kuwa Sheikh only in Tanzania hahahahaha, hiyo Taasisi yake ni ipi na BAKWATA ni ipi? hahahahahaha KAtimba wewe mshikaji maan wacha haya mambo utajichafua bure hayakuhusu wachana na wanasiasa watakufikisha pabaya, mambo ya siasa waachie wanasiasa huyawezi kama vipi rudia kupiga Disco kama zamani.
- Wamekubebesha zigo usilolijua hukusoma gazeti la Mtanzania kuwa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Taifa inawataka Wabunge Msukuma na Selasini kupeleka ushahidi wa maneno yao juu ya mali za MAkonda mpaka leo hawajaenda, I mean kwa nini Viongozi wa Dini mnjiingiza kwenye mkenge hivi?
le Mutuz
