Sheikh Farid: Kwanini nishitakiwe kwenye mahakama ya Tanganyika?

Irish Republic Guards- Ireland, Eta- Spain, Mafia- Italy, Mosad- Israel, Red Army, Nazi nk ni vikundi gani? Mbona al- Qaeeda na al- Shabab tu? Kuna nini na uislamu?
 
Nasema hii inchi inakwenda,toka nizaliwe miaka 40 iliyopita na kujitambua sikuwahi kuona nchi hii inakwenda mrama kiasi hiki!.Ndani ya TZ sasa kuna magaidi!.Lakini kwa nini watz wanageuka kuwafanyia ugaidi wenzao?.Kilicho wazi ni kuwa ktk ardhi hii wananchi wanatumika tu kisiasa ila kuna kundi la watu serikalini na ccm ambao hii nchi wanafaidi.Nchi imekosa uongozi imara na hii ni hatari,risasi,mabomu na vitisho haitasaidia.Viongozi wanafanya vitu vinavyozidi kugawa taifa mfano bunge la katiba litaiacha taifa dembe dembe,utaona!.

We acha tu, Mwarabu kamfundisha mwafrika kuvaa mabomu kiunoni, zamani haikuwepo hii
 
Mfumo kristo@work

Mfumo kristu(kafir) haukwepeki. Gari imegunduliwa na mkristo, Komputer ni Mkristo, Bulb ni Mkristo, Kipaza sauti cha msikiti ni Mkristo, simu yako ni Mkristo, Ndege ni mkristo. Utamkwepaje?
 
mfumo kristu(kafir) haukwepeki. Gari imegunduliwa na mkristo, komputer ni mkristo, bulb ni mkristo, kipaza sauti cha msikiti ni mkristo, simu yako ni mkristo, ndege ni mkristo. Utamkwepaje?

toa upuuzi.
 
Na Anti balaka ni dini gani?

Anti balaka ni kikosi maalum cha kujikinga na magaidi baada ya kuona ukechekea nyani utavuna mabua. Pia wanavaa Irizi


2Q==
 
Hakuna sababu ya kukashifiana ktk misingi ya Dini zenu za kifala badala ya kujadili hoja. Kwanini hawa Wageni toka Zanzibar wanashitakiwa Tanganyika?
 
Hawa mbwa walioko katika serikali ya Tanganyika wanafikiri bado wazanzibar wamelala fofofo kama walivyolala watanganyika! Sasa wanatafuta namna ya kuwanyamazisha na kuwatisha Wazanzibar walioko mstari Wa mbele kuwaamsha wazanzibar

Wajue wanajidanganya nafsi zao na zamama zao.

Kosa kubwa ambalo huyu Sheikh na wenzake ni kuwaamsha wazanzibar waukatae muungano na slogan yao "TUACHIWE TUPUMUE" Sasa hizi kesi zao za kitoto zina mwisho wake na wajue wazanzibar wameshang'amua hila zao.

Waache wamwagie watu tindikali, wauwe mapdri wao "Mushi" waripuwe mabomu " hili ZNZ sio msamiati mpya" lakini sisi haturudi nyuma kudai ZNZ huru.

Magaidi huwa wanajifanya kutetea umma ili kupata public support ili kutimiza azma yao ya Ugaidi, magaidi wengi utasikia "tunapigania waislam wenzetu wanaoteseka sehemu fulani". Kumbe lao kubwa ni kumwaga damu. Kama kweli wanataka Zanzibar huru kwanini waue mapadre kwa kuwapiga Risasi? Mbona wamwagie tindikali na kurushia mabomu mashekhe wanaopinga Ugaidi?, mbona wasiandamane hadi bungeni au kwa Rais wa Zanzibar kama kweli lengo ni Zanzibar huru? mbona kwenye mihadhara wanakashfu ukristu?
 
Walifundishwa na yule aliejilipua msalabani kwaajili ya dhambi zenu.

Huyo wa Msalabani alijitoa kwa ajili ya dhambi zetu, vinginevyo ilitakiwa sisi ndio tuhukumiwe kama ilivyokuwa kwa sodoma na gomala, au kama ilivyotokea gharika kuu enzi za Nuhu. So, ni fumbo zito vigumu wewe kuelewa
 
Tanzania kwa sasa iko chini ya himaya ya myahudi hakuna yeyote atakae pata haki kama anatetea uislam. Na pia wataweka rais wamtakae kwa hiyo basi mnatakiwa mfate yale wayatakayo wao miungu watu. Na kama mtaleta uislam mtakiona. .....
 
Magaidi huwa wanajifanya kutetea umma ili kupata public support ili kutimiza azma yao ya Ugaidi, magaidi wengi utasikia "tunapigania waislam wenzetu wanaoteseka sehemu fulani". Kumbe lao kubwa ni kumwaga damu. Kama kweli wanataka Zanzibar huru kwanini waue mapadre kwa kuwapiga Risasi? Mbona wamwagie tindikali na kurushia mabomu mashekhe wanaopinga Ugaidi?, mbona wasiandamane hadi bungeni au kwa Rais wa Zanzibar kama kweli lengo ni Zanzibar huru? mbona kwenye mihadhara wanakashfu ukristu?

Ikiwa kitabu changu na dini yangu ninayoiamini inanitaka niseme Yesu sio Mungu bali yeye ni mtume Wa mungu na nikasema hivyo jee hapo pana kashfa au ulitaka niende kinyume na maandiko ya dini yangu?

Na wala wao hawajatetea MTU au kikundi cha watu zaidi ya kuwafahamisha wazanzibar namna hili dude linaloitwa muungano Wa tz namna unavyoinyonya na kuikandamiza ZNZ.

ZNZ ilikuwa empire iliyokuwa ikitawala nusu ya Africa lakini leo hadhi yake yote imepotea kwa kutawaliwa na nguruwe weusi kutoka Tanganyika????

Hata Kama watamfunga maisha au kumnyonga kisirisiri au kizahiri tayari meseji imeshafika kwa wazanzibar na kwa biidhini lillah muungano hautodumu tena.
 
Ikiwa kitabu changu na dini yangu ninayoiamini inanitaka niseme Yesu sio Mungu bali yeye ni mtume Wa mungu na nikasema hivyo jee hapo pana kashfa au ulitaka niende kinyume na maandiko ya dini yangu?

Kama unaamini Yesu si Mungu amini hivyo kwa faida yako. Mbona wakristu tunajua kuwa Mohammed alikuwa na wake zaidi ya wa 4, alioa mke wa mwanae wa kulea, alioa watoto wa shangazi zake, alioa mtoto wa miaka 6, alioa mateka wa kivita, aliamuru mwanamke anaenyonyesha auwawe lakini uwezi kuta tunamjadiri kanisani, au Mnadhani nyie ndio mmekamilika?. Wewe unatakiwa kuamini katika imani yako na sio kusimama hadharani kushfu. Mambo ya Muhammed tunayajua lakini huwa tunanyamaza tu
 
Kama unaamini Yesu si Mungu amini hivyo kwa faida yako. Mbona wakristu tunajua kuwa Mohammed alikuwa na wake zaidi ya wa 4, alioa mke wa mwanae wa kulea, alioa watoto wa shangazi zake, alioa mtoto wa miaka 6, alioa mateka wa kivita lakini uwezi kuta tunamjadiri kanisani, au Mnadhani nyie ndio mmekamilika?. Wewe unatakiwa kuamini katika imani yako na sio kusimama hadharani kushfu. Mambo ya Muhammed tunayajua lakini huwa tunanyamaza tu

Utamjadili vipi kanisani wakati kipalapala Dodoma umeshafanya kazi ya kuifanyia marekebisho bible na kuondoa jina la Ahmad "Muhammad" zaidi ya miaka 30 iliyopita!!!???

Lakini sisi ni wajibu wetu kumjadili na kumtaja Yesu "Issa bin Mariam" kwa kuwa katika kitabu chetu katajwa .
 
Kama unaamini Yesu si Mungu amini hivyo kwa faida yako. Mbona wakristu tunajua kuwa Mohammed alikuwa na wake zaidi ya wa 4, alioa mke wa mwanae wa kulea, alioa watoto wa shangazi zake, alioa mtoto wa miaka 6, alioa mateka wa kivita, aliamuru mwanamke anaenyonyesha auwawe lakini uwezi kuta tunamjadiri kanisani, au Mnadhani nyie ndio mmekamilika?. Wewe unatakiwa kuamini katika imani yako na sio kusimama hadharani kushfu. Mambo ya Muhammed tunayajua lakini huwa tunanyamaza tu

Unashanga Mtume Muhammad kuoa wake zaidi ya Wa nne na wala hushangai nuhu aliekuwa na wake 1000 na Masuria 900? Au Yakub alieowa MTU na Dada yake na baadae akaongeza na vijakazi vya hawa MTU na Dada yake!!!!

Au kunya anye kuku tu akinya bata kaharisha!!!???
 
Utamjadili vipi kanisani wakati kipalapala Dodoma umeshafanya kazi ya kuifanyia marekebisho bible na kuondoa jina la Ahmad "Muhammad" zaidi ya miaka 30 iliyopita!!!???

Lakini sisi ni wajibu wetu kumjadili na kumtaja Yesu "Issa bin Mariam" kwa kuwa katika kitabu chetu katajwa .

Hizo propaganda za ku edit biblia mnazipenda. Iko wapi hiyo Biblia Original tuione?, wacha propaganda. Kuna sehemu Yesu kamsema Mohammad kimafumbo kama unataka nitakupatia
 
Hi ni dhulma tu.shk farid wanamuonea hakuna ushahidi wa hayo mashtaka.
Huu ni uonevu dhidi ya waislam hasa wale wanao pinga sera za ccm na muungano.
Wananyimwa kupatiwa mawakili..
Wamekamatwa usiku na kuletwa Tanganyika.
Nina uhakika haya ni mpango mzima wa Lukuvi na genge lake la mfumo kristo ambaye wazi wazi ametamka kuibamiza Znz.
Shk Farid kuanzia 2012 december mpaka May 2014 walikua rumande Znz katika kesi ya maandamano .

Sasa leo mtu muda huo ambao anatajwa kutenda kosa alikua chini ya usimamizi wa magereza jea saa ngapi alipanga hizo njama?
Kama ni hivyo basi walipanga na askari wa magerza.
Huu mi uonevu dhidi ya waislam na dini yao..
Kina Lukuvi na kundi lake lililosomea ukachero wa kikomunisti na uongo na kukandamiza wapinzani ndio somo kkuu.

Sio haki kumtoa mtu nje ya Znz kumleta tanganyika kuhukumiwa .
Nawashauru ndugu zake wafungue kesi mahakama kuu znz kupinga mshatikiwa kuletwa tanganyika na pia kuiomba mahakama kuu znz kutangaza mgogoro wa kikatiba kwa jeshi la polisi kukiuka taratibu za muungano na jinai.
Shs farid hajawahi kuishi ama kukaa dar es salam huu ni sawa na utekaji nyara wa raia.
Inavo onekana maharamia ndani ya system wakiripua vibomu vyao kwa lengo maalum ..na ndio hili..huu ni uhalifu
 
Unashanga Mtume Muhammad kuoa wake zaidi ya Wa nne na wala hushangai nuhu aliekuwa na wake 1000 na Masuria 900? Au Yakub alieowa MTU na Dada yake na baadae akaongeza na vijakazi vya hawa MTU na Dada yake!!!!

Au kunya anye kuku tu akinya bata kaharisha!!!???

Pole sana, wakati wa Nuhu hata torati hazijaja, kuna wakati watu zamani walioa wake wengi, lakini kipindi cha Mohammad hakutakiwa kufanya hivyo, tena hadi mke wa mwanae wa kulea, too much. Alioa wake zaidi ya wake 4 wakati Quran imekataza. Au ndio yale mambo ya kiongozi kufundisha asichokitenda?, Au double standard?
 
Wewe ni mbaguzi.kwani wewe kama unaijua asili yako,twambie unatokea katika misitu ya congo au zaire. Usije na jawabu kuwa unatokea Tangayika! Eneo lijulikanalo kama Tanganyika lilikuwa ni pori la wanyama mwitu watupu kama mlikuja kuwindaa afu wazee wenu wengine wakarejea na wengine wakaingia mitini.

We akili zako zina tope.

Hao waarabu wenu ndio walitokea msituni.

Tanganyika + Zanzibar ni ardhi ya BLACK PEOPLE. Rudini kwenu mkanywe kahawa na kashata uarabuni
 
Muhammad SWA hafanyi kitu mpaka aamrishwe na Allah Sw. Yote hayo aliyoyafanya yamo katika Kitabu Kitukufu cha Quran. Kama unajua kusoma Quran soma Suratul Ahzab, ndio utajua km alifanya kwa matamanio yake au alifuata amri ya Mungu. Hilo usilishangalie wala halikuhusu.
Nirudi kwa Sh. FARID, huyu Sh. Mwaka mzima wa 2013 alikuwa gerezani Kiinua Miguu Zanzibar na hilo kosa lake limeanza Jan 2013! Kosa hilo amelifanya akiwa jela? Km ni kweli basi alikuwa akishirikiana na Maafisa wa Magereza kufanya hilo kosa. Kwahiyo hao Maafisa wa gerezani nao wafunguliwe Mashitaka, na hii inaonesha Serikali haiko makini inafaa kuachia ngazi.
 
Back
Top Bottom