sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Alisema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli imefanya kazi nzuri na kubwa ikiwemo ya kukomesha ufisadi, rushwa, unyonyaji, nidhamu kazini, kudhibiti mapato na mengine, huku ikipiga hatua katika kuongeza kasi ya maendeleo, jambo alilosema ni vyema kama litapokewa kama sehemu ya kujivunia kwa viongozi hao na taifa kwa ujumla.
Kwa hiyo ukisifia utendaji kazi wa raisi unakuwa hufanyi siasa, ila ukiukosoa ndo hapo siasa inakuwa imefanyika..! Ust'adh anajidhalilisha huyu..