johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Katibu wa Baraza la Habari la Waislam Shehe Mwaipopo amesema kwa sasa Mzee Kikwete ndiye Baba wa Taifa
Shehe Mwaipopo amemuonya Askofu Mbarikiwa wa Mbeya aache tabia ya kumsemasema Rais mstaafu mzee Kikwete na amevishangaa Vyombo vya Ulinzi kwa kutomchukulia hatua kali hadi sasa
Shehe Mwaipopo kutoka Bakwata alikuwa akiongea na Waandishi wa Habari nchini kuhusu maadili na madhara ya kuchanganya Dini na Siasa
Dominica Njema!
Shehe Mwaipopo amemuonya Askofu Mbarikiwa wa Mbeya aache tabia ya kumsemasema Rais mstaafu mzee Kikwete na amevishangaa Vyombo vya Ulinzi kwa kutomchukulia hatua kali hadi sasa
Shehe Mwaipopo kutoka Bakwata alikuwa akiongea na Waandishi wa Habari nchini kuhusu maadili na madhara ya kuchanganya Dini na Siasa
Dominica Njema!