LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
naomba kuuliza hivi kwa nini BALUKTA ilifutwa? Na je taasisi ya waislamu ni BAKWATA tu? Je na waislamu wengine wenye itikadi tofauti na hao wao wanasimamia wapi? Kwa upande wangu hao Viongozi wa BAKWATA siwaamini wameshindwa kuishinikiza ccm(serikali) iwape mahakama ya kadhi kama walivyoahidiwa afu bado wanaipigia debe! Wanaongoza waislamu kwa manufaa ya nani? No wonder ktk mgogoro wa msikiti wa ijumaa Arusha Bakwata wanasaidiwa na polisi kudhulumu baraza la wazee la msikiti,
waislamu huwa wanaboa sana, badala ya kuzungumzia masuala ya kitaifa wanazunguzia mambo ya kadhi ambayo hayana faida yoyote kwa maendeleo ya nchi!