Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Apr 6, 2011 #1 Haya majina ni ya watu wa wapi vile? Shemdodo shemweta sheruko sherukindo ... ... ... ... shetani... Nataka kujua maana nasikia ni wenyeji wa tanzania
Haya majina ni ya watu wa wapi vile? Shemdodo shemweta sheruko sherukindo ... ... ... ... shetani... Nataka kujua maana nasikia ni wenyeji wa tanzania
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,422 85,864 Apr 6, 2011 #3 Hapo kwa shetani.....ugomvi huo na washambaaa!!
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Apr 6, 2011 #6 wadogo zake makamba:A S thumbs_down:
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,567 2,063 Apr 7, 2011 #7 Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana.
Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana.
Slave JF-Expert Member Dec 6, 2010 5,314 2,635 Apr 7, 2011 #8 Globu said: Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana. Click to expand... jamani jf doctor kamateni hilo li glopu mkalipime kule milembe maana nahisi votage zipo high.linasema tuandike vitu vya maana kwenye jukwaa la joke.
Globu said: Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana. Click to expand... jamani jf doctor kamateni hilo li glopu mkalipime kule milembe maana nahisi votage zipo high.linasema tuandike vitu vya maana kwenye jukwaa la joke.
Mnyamahodzo JF-Expert Member May 23, 2008 1,932 985 Apr 7, 2011 #9 Globu said: Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana. Click to expand... Taratibu jamani, saa 01:39 AM umetoka wapi hata ukaiparamia simu na kuingia JF? Nani kakuuzi hivyo?
Globu said: Upuuzi mtupu. Mara majina ya Kinyiramba. Halafu ya Kinyamwezi halafu sijui nini PUMBAFF. Andikeni vitu vya maana. Click to expand... Taratibu jamani, saa 01:39 AM umetoka wapi hata ukaiparamia simu na kuingia JF? Nani kakuuzi hivyo?
S sugi JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,392 292 Apr 17, 2011 #11 shemhina shemahonge shemeji sheubwabwa