Hana uhakika km utamuoa na anahc utamkimbia baada ya kuzaa coz wanaume nyie hamtabiriki!
Mi najiuliza. Mtoa mada alijiaminishaje kuwa mimba ni yake?
Baada ya kupewa majibu ya dr, wote wawili walitabasamu kwa pamoja.
umeridhika na jibu jepesi?
Hapana dada Anita.
Nampenda ila sijui yeye kama ana upendo wa dhati kwangu, tumekuwa kwa mahusiano kwa miezi tisa, hata wazazi wetu wanajua hilo na tukapanga kwamba nikimaliza masomo yangu tufunge ndoa.
Sasa wewe kumbe mwanafunzi, kwa nini unafanya mambo ya wakubwa!
sio mwanafunzi in such coz by now nimeshamaliza degree yangu na kuajiriwa tayari.
Mimi ni mtu mzima sana.
Hahaha.... kalaghabaho!
Msaada ndugu zanguni niko
cross road mwenzenu.
Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana,
tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia
kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl
kupima malaria, pregnancy,etc.
Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu
akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na
kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana
kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba
mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari
kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.
Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu
ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa.
nafikiri mpaka hapo umeona what
Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa
mimba hii bila ridhaa yangu?
Ushauri wenu pia.
Mkuu BADILI TABIA kaa ukijua siku zote neno MWANAFUNZI HUTUMIKA kwa mtu yeyote anayesoma haijalishi shule ya msingi, secondari, chuo au chuo kikuu.
Hapa nimesema kumaanisha kwamba mimi mwaka huu mwezi wa 9 ndo nilimaliza degree yangu lakini kabla ya hapo nilikuwa nipo na kaajira na naendelea nayo mpaka sasa kwenye taasisi moja ya kibenk kanda ya ziwa.
Kuhusu kipata hamna shida na nilishamtoa wasiwasi juu ya hilo.
Tangu jana nimejaribu kuwapa taarifa ndugu zangu na zake kuhusu jambo hili.
Any way hakika nitazingatia ushauri wako kwamba natakiwa kufanya maamuzi magumu kwa kumshirikisha na yeye pia.
Huyo ni muuaji tu.
Wakati mnamegana kavu kavu alikuwa hajui kinachoweza kutokea?
Alikuwa hajui kama hayuko tayari kubeba mimba kwa vile malengo yake bado hayajatimia?
Ni mjinga kiasi gani kutokujua athari za kumegana bila kinga?
Mijanamke mingine haifai kabisa kuwa hai.
Hivi mama'ake angemuua yeye ingali mimba yake iko changa angekuwa hai leo hii kufurahia kudinywa dinywa?
Pambaaaf kabisa huyo mwanamke.
angekuwa karibu ungemzaba hata vibao.