Si kila ushauri ni wa kuubeba kama ulivyoTafuta pesa dogo..
Maneno ya mwanamke mmoja wa JF
Kwa kweliKwenye njaa hata panya hakai. Sembuse mwanadamu na akili zake timamu.
Huu kwa upande wangu naubeba kama ulivyo. Sijui weweSi kila ushauri ni wa kuubeba kama ulivyo
Ahsante“Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabiri; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote”
Kila la kheri, maisha ni kuchaguaHuu kwa upande wangu naubeba kama ulivyo. Sijui wewe
Kamalizie uzi wako kule tunakusubirimapenzi yalikuwepo na yatakuwepo hata tukienda dimensions nyingine ,
Food,Ngoja nitafute madesa yangu, nimsome MASLOW na theory yake ile la piradimidisi halafu nirudi tena kwenye hii post kuangalia hizo basic needs mnazotoa wanaume
Hata Hawa alimpenda Adam wakiwa bustanini kwakuwa Adam aliweza kumhakikishia makazi, malazi, chakula, upendo na mengine, na bado alitoka kwa ubavu wake.
Sasa wewe ndugu yangu, yaani upendwe na mtoto wa watu na ukapuku wako, unaona inawezekana kweli, yaani akupende tu, na huna uwezo hata wa kuhakikishia kula, ulinzi, hana amani, tuacheni ujinga.
Tafuta hela kwa sasa, kwa zamani ulitakiwa kuwa na nguvu, uweze kuwinda na kufanya kazi, kumlinda nk.
“Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabiri; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote”
Ukiwaza hivyo bas ujue kuna tatizo mahali...Niongeze sauti tena au tunasikilizana majamaa
Ati nakupenda kama ulivyo, huna chochote
[emoji849]uwiiii ni uwongo, ningekua jobless tungewezana kweliii????
Tuweni makini woyi.
Hahaha ...Kwenye njaa hata panya hakai. Sembuse mwanadamu na akili zake timamu.
Sipendwi mimi kinapendwa kinachotoka kwangu.....Kwani kuna tatizo? Cha muhimu si unapendwa?
Ni mimi ndio nimekosea kusoma kichwa cha uzi au ni weweSipendwi mimi kinapendwa kinachotoka kwangu.....
You have a point fellaNiongeze sauti tena au tunasikilizana majamaa
Ati nakupenda kama ulivyo, huna chochote
[emoji849]uwiiii ni uwongo, ningekua jobless tungewezana kweliii????
Tuweni makini woyi.
Mwanafunzi sikuoni darasaniOngeza sauti.