Danyel mweusi
Member
- Nov 17, 2012
- 81
- 19
niaje wana jf,
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi.. Kinachonivutia ni tabia zake njema if possible awe mke kabisa...
I need an advice pls
no offence
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi.. Kinachonivutia ni tabia zake njema if possible awe mke kabisa...
I need an advice pls
no offence