she is economically stable, beautiful and sexy,

she is economically stable, beautiful and sexy,

Danyel mweusi

Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
81
Reaction score
19
niaje wana jf,
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi.. Kinachonivutia ni tabia zake njema if possible awe mke kabisa...

I need an advice pls
no offence
 
hii post kama vile inajirudia...

niaje wana jf,
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi..
I need an advice pls
no offence

anyway fuata moyo wako na akili zako, umri sio tatizo kabisaa
 
niaje wana jf,
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi..
I need an advice pls
no offence

Kama hizo sbabu ndo zinakufanya uwaze kumuapproach nakushauri acha mtoto mzuri?
Umejuaje anaenjoy company yako?au ndo mkishachangamkiwa t na kuchekewa kidogo munafikiri the woman loves you?
 
^^
Umejiandaa kisaikolojia? Usinipe jibu..tafakari tu
^^
 
Atakudharau......am telling you......tafuta level yako......
 
Kama hizo sbabu ndo zinakufanya uwaze kumuapproach nakushauri acha mtoto mzuri?
Umejuaje anaenjoy company yako?au ndo mkishachangamkiwa t na kuchekewa kidogo munafikiri the woman loves you?

sababu kubwa ni tabia zake nzuri tofauti na watoto wengine wazuri; hivyo nilivyotaja ni vitu vinavyoweka ugumu hapo..
 
kama ni kuoa ..go for it
with time mtalingana
 
niaje wana jf,
kuna this woman we have been knwoing each other kwa muda mrefu sasa, anaelekea umri wa 30s soon, bt she is not married or having any serious relationship, ana elimu, a well paying job, a car and a house too,
upande wangu mim, amenizid kipato na kila kitu.. Lakin napokuwa nazungumza naye anakuwa anaenjoy sana kampan yangu, sasa nimefikiria kwa muda sasa kuhusu kuingia naye kwenye mahusiano thou hata umri pia amenizidi.. Kinachonivutia ni tabia zake njema if possible awe mke kabisa...

I need an advice pls
no offence



Hufai kuwa mume

HUJIAMINI KABISA

Unatuaibisha

Inaonekana hujui majukumu ya MWANAUME wewe

Kajifunze kwanza ndo ufikirie ndoa!!!!!!!!!
 
Kama hizo sbabu ndo zinakufanya uwaze kumuapproach nakushauri acha mtoto mzuri?
Umejuaje anaenjoy company yako?au ndo mkishachangamkiwa t na kuchekewa kidogo munafikiri the woman loves you?

Dogo anawaza hela tu hana lolote

Hivi hawajuieeeeeeeeehhhh!!!!!!!!!!

Ngoja atakuja tu hapa na malalamiko kontena zima

Dogo hajakua huyu!!!!
 
Dogo anawaza hela tu hana lolote

Hivi hawajuieeeeeeeeehhhh!!!!!!!!!!

Ngoja atakuja tu hapa na malalamiko kontena zima

Dogo hajakua huyu!!!!
Umeonae?!Kutokana na umri wake atakuwa hatujui.Ngoja ajaribu moto .
 
Dogo anawaza hela tu hana lolote

Hivi hawajuieeeeeeeeehhhh!!!!!!!!!!

Ngoja atakuja tu hapa na malalamiko kontena zima

Dogo hajakua huyu!!!!

jomba inakuwa kama unanifahamu vizuri unaweza kuta we dogo sana kwangu kuwa na heshima kachala toa ushauri ukishindwa kaa kimya..
 
Back
Top Bottom