She can't even text a well written and easily understood sms..gosh!!

Nawasiwasi na uwezo wake wa kuchanganua mambo..she can't even send a well written and easily understood text, lazima utumie kama nusu saa kuelewa amendika nini..and yet you still love her..akijieleza unachukua muda tena kuelewa anataka nini..sijui tatizo ni umri wake?? au mimi ndio mzee sana..9 yrs difference!!!


hapa tatizo kubwa ni wewe ambae pamoja na umri wako mkubwa na kingereza chako cha mafungu, unashindwa kumwelewa huyu mwenye uwezo mashaka wa kuchanganua mambo. aidha umeshindwa hata kumuelezea hapa, ukapata sentensi tatu tu za kumwelezea, hii ni ishara wewe ndo unamuangusha.

chukua muda uijue historia yake - ki shule na kiafya pia, itakusaidia kujua chanzo ni nini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom