korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
sharobaro alikuwa chumbani na changu,changu akavua nguo zote na kuzitundika kabatini,sharobaro akastuka kuona changu yule ameweka bastola kitandani..akauliza..hii nayo ya nn??changu akajibu wanaume wengine washenzi sana wanakuvuruga usiku kucha halafu asubuh wanakupa 150,000/= tu,zitakusaidia nn!! sharo akaanguka chini kwa mshtuko na kupoteza fahamu.changu alipompekua akakuta mfukoni alikuwa na sh.5000/= tu