Sharobaro aonekana mitaa ya Mwenge Stand


Ngoja nimuelekeze house boy wangu ili apunguze kuchekacheka. Mimi hapo hapanifai, sisi wazee wa kutoka jasho ndipo ule chakula bora sio bora chakula.
 
Mkuu Saitot hata madereva wa daladala wanamjua....huwa wanamwambia shtua ...basi anafanya makeke yake

Jamaa ni smart hatari unaweza fikiri anaogopa kakanyaga vyupa barabarani, lkn hata hy body weight inamsaidia maana ni mwembamba aisee!
 
Jamaa ni smart hatari unaweza fikiri anaogopa kakanyaga vyupa barabarani, lkn hata hy body weight inamsaidia maana ni mwembamba aisee!

Mkuu ni kweli Jamaa kama anahepa vyupa dah!
 
u celeb ushaanza hivyo, mara tutaanza kumuona kwenye comedy show za TV
 
u celeb ushaanza hivyo, mara tutaanza kumuona kwenye comedy show za TV

Maisha mipango kama analenga hapo huyu jamaa atakua amejipanga. Akomae ukweli atatoka tuu takribani miezi 8 imepita toka nimuone huyu bwana sinza. Sikujua lengo lake lakini naanza kyona dalili ya malengo yake. Big up.
 
Brain yake itakuwa na itirafu huyo sharobaro.
 
Huyu jamaa nishawai kumuona, ana mikogo ya hatari.. Hapo atatembea kwa miguu kutoka mwenge mpaka sinza barabarani watu watamshangilia kichizi.. .
Kiafya safi sana, mwili anaupa mazoezi
 
Uzuri wa Dar es Salaam vituko huwa haviishi🙂 Hutakiwi kulipia comedy shows Jiji hili; comedians wapo kila sehemu🙂
 
mitaa ya mwenge nishamuonaga kama mara mbili..burudani tosha.
 

Mkuu hiyo baa inaitwa Mlima Pub na sio Mlima wa Moto.
Hatareeeee...mkuu unakunywa bia huku toto linakuzungushia mzigo mbele yako kufuatisha mdundo wa muziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…