Sina uhakika sana na taarifa yako sijaona kituo chochote cha TV kilichotoa Breaking News juu ya hilo hususani EATV, tunaomba kupata chanzo cha hiyo taarifa yako.
Dah! Kifo kipo karibu sana..kama mshumaa kwenye upepo..tunajisahau sana,tuko busy na dunia na kusahau kama mwisho wa siku tunarudi kwenye udongo! Iko haja ya kujifunza mapema kumpa Mungu cheo ili kesho atupokee vizuri! Kama ndivyo R.I.P SHARO..
Sina uhakika sana na taarifa yako sijaona kituo chochote cha TV kilichotoa Breaking News juu ya hilo hususani EATV, tunaomba kupata chanzo cha hiyo taarifa yako.