Sharefest Njia mbadala ya ku-share ma-file

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Jun 16, 2010
2,415
398
Wakuu teknolojia inazidi kushika kasi, wengi wetu tumezoea kushare mafile kwa njia ya ku-uploud kwenye mitandao mbali mbali kama Mediafire 4shared kushare kwa njia hii inakulazima kutumia mda mwingi hasa kama mtandao wako uko slow na kutegemeana na ukubwa wa file lenyewe.

pia tumezoea kutumia njia ya peer to peer (p2p) ambayo inakulazimu kuwa na torrent client kama vuze Utorrent na nyingine nyingi, au kutumia njia mbadala kama Zbigz ilikufanikisha zoezi la kuhamisha file husika...

Browser za Mozila na Chrome wamekuja na njia mbadala ya kuharakisha kushare data/voice n'k ambayo haitaji kutumia software yote ile zaidi ya wewe kuchukua file au webcam na kushare na watu unaotaka kuwasiliana ...

Na njia yenyeweni ni hii hapa Sharefest Click hapa Sharefest ujionee namna inavyo fanya kazi. maelezo ya jinsi inavyo fanya kazi yanapatikana kwenye hiyo site hapo ningependa kufafanua kwa undani zaidi njia hii namna inavyo fanya kazi, ila kwa bahati mbaya nipo safarini na kimeo changu kinazima charge.

1-4.JPG
Unachukua file lako popote na kudrag hapo kwenye page
1.JPG


Kama inavyo onekana hapa

2.JPG


sekunde chache tu file lako linakuwa tayari kushare na mtu yoyote, cha kufanya hapo ni ku-copy hiyo link hapo juu na kumpatia unayetaka alipate

3.JPG

hapa na download file nililotumiwa.
 
mkuu umeshawahi tumia dropbox/skydrive/bytebx au apps nyengine za cloud? nafkiri hii ni njia nzuri zaidi.

natumia simu web yao ina mascript mengi ila nlichoelewa ni kama torrent sema hii haina seeder na leecher wengi just we unam uploadia mwenzako na ye anadownload. leecher 1 na seeder 1
 
mkuu umeshawahi tumia dropbox/skydrive/bytebx au apps nyengine za cloud? nafkiri hii ni njia nzuri zaidi.


Zote hizo nazitumia mkuu, na ndio niko kwenye majaribio ya kuona ni jinsi gani Sharefest inafanya kazi, nimeiona ni rahisi sana kuitumia japo sijajaribu kushare file lolete na mtu na kuona utendaji kazi wake... Pia uzuri wa hii hauna sababu ya kua na acount ilikuweza kushare files na mtu yoyote na kwa wakati wowowte ili mradi tu browser unayotumia iwe inasupport HTML5 basi.
 
mkuu umeshawahi tumia dropbox/skydrive/bytebx au apps nyengine za cloud? nafkiri hii ni njia nzuri zaidi.

natumia simu web yao ina mascript mengi ila nlichoelewa ni kama torrent sema hii haina seeder na leecher wengi just we unam uploadia mwenzako na ye anadownload. leecher 1 na seeder 1
mkuu embu nisaidie kunielewsha hivyo vitu viwili huwa naviona sana torrent seeder na leecher,thanx in advance!!!
 
nimeipenda hii iko so fast,ila bado umuhimu wa skydrive na googledrive upo palepale
 
mkuu embu nisaidie kunielewsha hivyo vitu viwili huwa naviona sana torrent seeder na leecher,thanx in advance!!!

mkuu kwenye torrent huwa vitu watu hawahost online, lile file unalodownload halipo kwenye sever yoyote bali kuna mwenzako anaku uploadia
seeder- wale wanao upload
leecher- wale wanao download
ina maana kama file lina seeder 12 na leecher ni wewe tu mmoja then ina maaana watu 12 wanaku uploadia wewe tu ili uweze kumaliza kudownload.

kwenye ya uncle rukus ina maana kuna seeder mmoja tu na leecher mmoja. speed ya ku upload ya seeder ndo maximum speed ya kudownload ya leecher
 
mkuu kwenye torrent huwa vitu watu hawahost online, lile file unalodownload halipo kwenye sever yoyote bali kuna mwenzako anaku uploadia
seeder- wale wanao upload
leecher- wale wanao download
ina maana kama file lina seeder 12 na leecher ni wewe tu mmoja then ina maaana watu 12 wanaku uploadia wewe tu ili uweze kumaliza kudownload.

kwenye ya uncle rukus ina maana kuna seeder mmoja tu na leecher mmoja. speed ya ku upload ya seeder ndo maximum speed ya kudownload ya leecher
clear clarification thanks!!!:clap2::clap2:
 
Back
Top Bottom